Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Haya yote alishajibu.
Mkewe naye mwanzoni alishamsumbua sana na kumwibia
 
Mmekutana chupa na mfuniko alooo [emoji23][emoji23][emoji23]….nyie mnawezana hamtaja achana walahi
 

Naungana na wewe, [mention]DeepPond [/mention] kwa mama j hapindui.
 
Unataka aondoe friji alete deli la barafu ndani, huyo manzi hana mimba wala kijusi anataka amjaze kwenye kumi na nane arudi. Akaushe hivyohivyo tu asimtafute ikiwezekana ampe tofali namba zote
 
Kuna mwenzio alikua kama wewe hapa nkuhungu dodoma, exactly like you. Guess what. Anauguzwa na mkewe saivi. Tena wamefulia wamebaki hawana hela wote. Amerudi kwa mke wake katulia tuli. Pesa zote, biashara zote kwishnehi. Alikua kama wewe..saivi ugonjwa umempata tena wa tumbo, utumbo unafanya kuchungulia mk****ni. Kila siku anaomba simu aombe msamaha wakwe na mashemeji zake maana hata ndugu zake wamemkataa wakakaa kimya. Shemeji na ukweni ndo wanamuuguza. Kila siku anawaomba msamaha kwa vitu alivyowatendea pindi ni mzima. Kuna siku isiyokuwa na jina utaukumbuka huu ushauri. Hope it wont be late.
 
Hauko serious riky,
Kama uko serious Basi hunitakii mema
Yaan nifukuze mamaG nikoe mamaJ

Aisee Si Bora TU nibaki bachela tu[emoji848]
HAPANA KAKA fukuza mkeo why uteseke kuishi na mwanamke usiempenda wakati kuna unaempenda kwelii.. Upe moyo wako tulizo maana kutoa hiyo mimba sio jambo jema mtatoa ngapi?? maana kesho tu utampa tena mimba huwezi muacha huyo mwanamke. mimi mwenyewe nina michepuko mizuri tu ila kamwe hainiendeshi kama wew unavyoendeshwa na huyu mwanamke kwako huyu ni MKE wa pili kama una uwezo wa kuhudumia familia mbili.
 
Nampenda sn wife kuliko mamaJ
Hili nishalisema Sana sema hamuamini
Ningekua simpendi wife, ningeshamfukuza nikaweka ndani mamaj
 
Haya yote alishajibu.
Mkewe naye mwanzoni alishamsumbua sana na kumwibia
I know lakini si walishasolve. Au ndo bado anamchukia? Kama hampendi si watengane maana hii anayofanya ni mbaya. Mke aliiba, huyu majay haibi? Kawekeza kwake sana mpaka sasa amekua sawa na mke tu. Kama alisamehe kwa ridhaa ya moyo wake si waendelee na maisha yao. Ama ndo kaamua kumfanya mke mkubwa na majay mdogo. Anyways nina dhambi zangu, let me not judge him.
 
Dah! Inasikitisha sn,chanzo nn Tena?
Alirogwa au vipi?
 
Nadhani sio kwako, kwakua usingechukua jukumu lakumshtakia humu, ni mada uliyoamua kuleta kama kawaida yako
 
Dah! Inasikitisha sn,chanzo nn Tena?
Alirogwa au vipi?
Ndio..tena na mchepuko. Mchepuko kamroga, kamla hela saiv anakula zake bata tabora. Kila siku analia anamuomba mke wake msamaha. Nakuombea usije ukagundua its too late Deep. Nitakuchangia ila..hatutakuacha wana JF🌝🌝
 
Ukishampoteza mume kwa mara ya kwanza, hata ukimrudisha hatarudi mzima mzima, utakuta moyo ameupangishia ka chumba kadogo nje...chukua hii kutoka kwangu.

Jotahidi usimpoteze mume/mpenzi mapema ukijua utamrudisha
 
Alikua Bachelor holder,muoga sana!yupo yupo!

Jamaa akamchukua tia mimba chukua btena peleka mikoani halafu ajira zilipotoka akamhamishia kwake coz jamaa alitangulia ajira kabla ya dem!

SASA baada ya kujifungua jamaa wakaanza kujenga nyumba ya kwanza ,pili tatu baadae mama wa jamaa akaja KUSALIMIA kakuta mambo safi si akasema akae KWA mwanae!!!?we dem au mke wa jamaa akasema silei mama wangu nishazika!!

Mama mtu aliposikia hii akaomba nauli KWA machozi jamaa akampa mama akasepa!

Jamaa alishindwa afanye nini na kishamzalisha WATOTO tatu SASA anamwachaje!!!?na wameshatengeneza maisha!!!?

SOMETIMES MADEM HUWA SIWAELEWI KABISA MKUU!!!

YAANI WANATAKA NINI MAISHANI LABDA URITHI WA MALI MWANAMME ANAPOKUFA NA WAMEJIPA HATIMILKI KUA WANAUME NI WA KUFA MAPEMA SIKU ZOTE!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…