Uzuri wa wanawake ni kitu kimoja tu: -Hawafanyi jambo au kuongea kitu kwa kubahatisha.
Kabla hajafanya jambo au kuongea neno lolote kwa mwanaume anakuwa anaelewa kabisa kuwa impact yake itakuaje and how it will ends- hawakurupuki
Wachache wanaokurupuka ndio hao wanaishia kupigwa risasi saba za kichwa na wengine kuchomwa na gunia za mkaa.
Huyo mama j,alishajua udhaifu wako kwake na anadili na mtu wa aina gani,and ofcourse,yes she is right
Hiki anachokufanyia mama j,asingejaribu hata kukiwaza kama angekuwa kwa mwanaume
Take it or leave it