Kuna wanawake hawapendeki hata uwafanyie nini

Kwamba keshanisoma vya kutosha au vipi?
 
huyo sio demuhuyo ni orphans mpeleke kituoni wakamlee mana hajakuwa bado. hizo levo za kubanduliwa na bodaboda wasiochana nywele
Kuna uKweli Hapa,
Yaan anakua omba omba mno utadhan yatima, Hii halileti afya kabs ktk mahusiano
 
Ila we jamaa ukiamuaga kuandika inahitaj jobless kusoma. Anyway, wanawake hawachi fulsa, umempa fulsa anaitumia
 
Inaonekana Bado unampenda Sana Kwa maelezo yote hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…