Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Sasa tukaombee wapi? Tuwafuate mpaka maofisini, makwao?kuomba namba barabarani ni ushamba
mimi siwezi omba namba ya mtu sijazoeana naeSasa tukaombee wapi? Tuwafuate mpaka maofisini, makwao?
Ndio tabia yenu..?kuomba namba barabarani ni ushamba
Sasa utazoeanaje nae bila kujenga ukaribu?mimi siwezi omba namba ya mtu sijazoeana nae
nyie si mabaharia naelewa
Sasa kwanini umnyime namba ya ofisi, si ungempa namba ya ofisi πPia kuna wanaume wana majibu mabaya sana tukiwanyima namba.
Mimi mwaka mpya tu hapa nimechambwa na mbaba ofisini sina hamu, nilikuwa mpoleeeee!
Hiyo ndio mbinu yangu pendwa, mpaka nimewahi kuumbuka mara kibao! Kuna mtu nilimpaga bwana, siku akaja sipo akaulizia namba ya ofisi akapewa... akakausha! Siku akaja akanikuta tena, akaniomba tena namba zangu huku akisisitiza nikamtajia, kuandika tu jina likaja la ofisi! Ilikuwa noma,aliniangalia akaondoka hakunisemesha chochote hadi leo naonaga aibu π€£π€£π€£Sasa kwanini umnyime namba ya ofisi, si ungempa namba ya ofisi π
π si umwambie tu hapana mbona si wengine waelewa sana.Hiyo ndio mbinu yangu pendwa, mpaka nimewahi kuumbuka mara kibao! Kuna mtu nilimpaga bwana, siku akaja sipo akaulizia namba ya ofisi akapewa... akakausha! Siku akaja akanikuta tena, akaniomba tena namba zangu huku akisisitiza nikamtajia, kuandika tu jina likaja la ofisi! Ilikuwa noma,aliniangalia akaondoka hakunisemesha chochote hadi leo naonaga aibu π€£π€£π€£
Imefikia stage mpaka wenzangu wakiona mtu ananiomba namba tu wanacheka hawana mbavu maana wanajua anapewa za ofisi!
Tukawaombe namba wakiwa Msibani mkuu au ?kuomba namba barabarani ni ushamba
Naomba namba yako nifaHiyo ndio mbinu yangu pendwa, mpaka nimewahi kuumbuka mara kibao! Kuna mtu nilimpaga bwana, siku akaja sipo akaulizia namba ya ofisi akapewa... akakausha! Siku akaja akanikuta tena, akaniomba tena namba zangu huku akisisitiza nikamtajia, kuandika tu jina likaja la ofisi! Ilikuwa noma,aliniangalia akaondoka hakunisemesha chochote hadi leo naonaga aibu π€£π€£π€£
Imefikia stage mpaka wenzangu wakiona mtu ananiomba namba tu wanacheka hawana mbavu maana wanajua anapewa za ofisi!
Shemeji π pole sana.Pia kuna wanaume wana majibu mabaya sana tukiwanyima namba.
Mimi mwaka mpya tu hapa nimechambwa na mbaba ofisini sina hamu, nilikuwa mpoleeeee!