Kuna wanawake ukiwaomba namba ya simu wanamajibu mabaya sana

Kuna wanawake ukiwaomba namba ya simu wanamajibu mabaya sana

Dada zetu mbona mnatutenga sana sisi tusio na kitu? Sasa upwiru tutaupeleka wapi jamani?

Unakutana na mdada mzuri umevutiwa nae, kutokana na haraka alizonazo unaona bora niombe namba ya simu tutayajenga baada, majibu yake sasa.😀😀



View attachment 2868899
Duh kwa namna ya hii katuni na majibu ya huyo mwanamke ni kuwa mchoraji alikuwa anakumbusha tu ule msemo "nyani halioni kun..le!"
 
kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Tangu niwe mtu mzima, nimewahi kuombwa namba yangu ya simu mara moja tu, tena na mdada ambaye nilimuonesha ukarimu kwenye daladala 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Bora uninyime namba unitamkie na neno lolote utakalojisikia sio unipe namba halafu nikikupigia unaniblock
 
kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
Jamaa yako ana matatizo ya akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu unauliza ilo swali, seriously? (in babra hassan's voice)
Ndio, maana mie nikuomba mtu yeyote yule number yake ya simu huwa naweka wazi nini dhamiri yangu there and then. Nikikutana na mtu (mwanamme au mwanamke) na tukaanzisha mazungumzo yeyote yale na nikitaka tuwe na mawasiliano zaidi baada ya kuacana pale tulipo, then namwambia lets keep in touch. Ikiwa nemkuwa na mazungumzo na mwanamke na toka nilipoanza mazungumzo nae lengo ni kuwa niko interested nae then namwambia kuwa uwazi kuwa i was interested in her, na kama yuko single na free ningelipenda ku keep in touch with her na tuone kama tunaweza ku click. Hii inasaidia kupotezeana wakati. Na kama mazungumzo yetu yalikuwa ya kikazi au biashara basi pia huweka wazi kabisa kuwa tubadilishane number ili tuzidi ku discuss na kushauriana juu ya lile tulilozungumza.
Sitoki tu pruuuu namkuta demu na baada ya salamu tu ohhh naomba number yako ya simu.
 
Back
Top Bottom