mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Kwani kuomba namba ya simu kuna maanisha nini? Na kwani mwanamke akikupa number yake ya simu siku yeyote ile huwa ina maanisha nini hasa?Ukitaka mwanamke akusumbue omba namba ya simu first time
Nadhani anahitaji kubadilika, anatakiwa aweke wazi ni kwa nini anataka namba ya mtu.π si umwambie tu hapana mbona si wengine waelewa sana.
Nna jamaa yangu akiomba namba akanyimwa huyo dada atakoma kwa maneno ya kejeli
Duh kwa namna ya hii katuni na majibu ya huyo mwanamke ni kuwa mchoraji alikuwa anakumbusha tu ule msemo "nyani halioni kun..le!"Dada zetu mbona mnatutenga sana sisi tusio na kitu? Sasa upwiru tutaupeleka wapi jamani?
Unakutana na mdada mzuri umevutiwa nae, kutokana na haraka alizonazo unaona bora niombe namba ya simu tutayajenga baada, majibu yake sasa.ππ
View attachment 2868899
Kumekuchaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni humble inayochangamka ikikutana na Ndombolo.
Inatengeneza "humbolo" chini ya mkanda hapo.
You too ππ₯° .Happy New Yearπππ
Acha hizo wewe, namba zinaombwa hadi misibaniKuomba namba barabarani ni ushamba
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
mkuu unauliza ilo swali, seriously? (in babra hassan's voice)Kwani kuomba namba ya mtu kuna maanisha nini?
Jamaa yako ana matatizo ya akili.kuna jamaa yangu anatabia kama hiyo bas anaenda kwa upole jamaa: dada habari, dada:safi jamaa: kama nakufananisha hv we si ulikuwa unakaa kuleeeee dada:wapi? Jamaa:hapaa kwa kina nani hivi lucy unampata? dada kabla hajajibu jamaa tuache hayo unajua we ni mrembo yaan dah sijui nisemeje ooh hebu nisaidie kwanza namba yako ,, dada:mi nimeolewa namba yangu ya nini? Hadi hapo jamaa uvumilivu unamshindwa jamaa:hivi we mdada mbona unajiona sana cheki ulivyo miguu kama suria kudadek nilikuwa nakujaribu tu utanipeleka wap mtu kama wewe,, kwa aibu dada wa watu huyoo hapo jamaa ndio anazidi siku nyingn ukiniona upite mbali.. Nina hasira sana na ww dada umetangaza vita, na sio kwamba anatania, akimkuta tena kejel tena mara ya tatu ndio anaomba tena kwa woga wa dada anampa na akisha pewa hamtafuti
Ndio, maana mie nikuomba mtu yeyote yule number yake ya simu huwa naweka wazi nini dhamiri yangu there and then. Nikikutana na mtu (mwanamme au mwanamke) na tukaanzisha mazungumzo yeyote yale na nikitaka tuwe na mawasiliano zaidi baada ya kuacana pale tulipo, then namwambia lets keep in touch. Ikiwa nemkuwa na mazungumzo na mwanamke na toka nilipoanza mazungumzo nae lengo ni kuwa niko interested nae then namwambia kuwa uwazi kuwa i was interested in her, na kama yuko single na free ningelipenda ku keep in touch with her na tuone kama tunaweza ku click. Hii inasaidia kupotezeana wakati. Na kama mazungumzo yetu yalikuwa ya kikazi au biashara basi pia huweka wazi kabisa kuwa tubadilishane number ili tuzidi ku discuss na kushauriana juu ya lile tulilozungumza.mkuu unauliza ilo swali, seriously? (in babra hassan's voice)