Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Migodi ni michafu mno wala huwezi ku-rewind, pisi kali ndiyo mmm bora hata kuku wa kienyejiUnasomea mashuka, kuna wanawake wachafu aisee anatoka kulala na mwanaume leo kesho inapita hajaoga. Ndo maana usitishike na make-up πππ wengi wao ni wachafu kupindukia ni vile tunavumiliana tu
Kumbe na wewe umekutana nach pole aseUnasomea mashuka, kuna wanawake wachafu aisee anatoka kulala na mwanaume leo kesho inapita hajaoga. Ndo maana usitishike na make-up πππ wengi wao ni wachafu kupindukia ni vile tunavumiliana tu
Inasikitisha kijana wa sasa hivi hajui kuweka alama za uakifishaji (punctuation marks) na haoni shida.Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
Unatafuta wakumfia sio au umemis matusi umekosa wakugombana naeInasikitisha kijana wa sasa hivi hajui kuweka alama za uakifishaji (punctuation marks) na haoni shida.
Umetisha mwanaumeDuh! Ndo maana huwa napendelea mashuka meusi
Nifue mashuka kwani mimi ni mwanamke!
Mchicha siyo tatizo,vwanao nMavyuzi ananyoa kweli?!
Wewe Duu mtambo hapo yatakuwa yana nuka uzeeeMwanaume inatakiwa shuka likae miezi 6 kabla halijakutana na maji,ila kwa mwanamke aaah
Umekutana na Demu gani huyo.Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
Hii kitu hadi nione nkichuchumaa natoa harufu kaliiii ndo nanyoaMavyuzi ananyoa kweli?!
Msitu wa virunga ππHii kitu hadi nione nkichuchumaa natoa harufu kaliiii ndo nanyoa
Mkuu kama unaishina mwanamke dizaini hiyo,jukumu lako si uwe una mkumbusha kumbusha..Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini kama yakitokea unapaswa badirisha baada ya maanagamizi ila kwa hawa wanawake wa sikuiz ni wachafu hajui kabisa usafi kufua kwao shida
DuHii kitu hadi nione nkichuchumaa natoa harufu kaliiii ndo nanyoa
Ningekuwa na mpiga kila sikuMkuu kama unaishina mwanamke dizaini hiyo,jukumu lako si uwe una mkumbusha kumbusha..
πππMs R msome kungwi wa kujitolea hapa π€£π€£π€£
Uzi ufungweee.Bwashe mfundishe huyo bibie usafi kuanzia katika malazi, mapishi, mazingira kiujumla na somehow kiroho