Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
 
Hayana komando mapenzi, ukipenda unakuwa zaidi ya chizi ndio sababu watu wanasafiri kati ya bara moja na jingine sababu ya mapenzi.

Ujue ukikaa ukatafakari kwa kina ni kwanini umemuoa huyo mkeo unaishi naye unaweza ukajicheka!

Hilo linaitwa pendo la wazimu.....huambiwi kitu, hisikii, huoni, hunusi. Umefunga milango yote ya fahamu
 
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano.hakuna sms wala calls wala matumizi...
Huyo si mjinga. Huenda walikubaliana kuua hicho kimalaika. Vinginevyo ni mgonjwa au anatafuta mtoto mwingine. Kuna akina mama ambao walishakata tamaa ya kuolewa. Akipata wa kumpanda na kumpandikiza hajali yajayo.
 
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano.hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Aiseh mwanamke mpumbavu kabisa sijawai ona🙆
 
Back
Top Bottom