Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Zote zimerudiKajala ana akili kaondoka na range na mwanae kafinguliwa duka la nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote zimerudiKajala ana akili kaondoka na range na mwanae kafinguliwa duka la nguo
Huyo jamaa yako hajatumia ndumba kumteka kiakili na machungu yote ya kuondokewa na mtoto ndani ya siku 7 arudiane na mtu aliye mtenda kirahisi kuna uwalakiniUko sahihi,malengo ya jamaa nayafahamu ila ya huyu shemeji sijayajua na hata kama yaoo hayana mashiko
Nyege zikiisha na upendo unakwishaHayana komando mapenzi, ukipenda unakuwa zaidi ya chizi ndio sababu watu wanasafiri kati ya bara moja na jingine sababu ya mapenzi.
Ujue ukikaa ukatafakari kwa kina ni kwanini umemuoa huyo mkeo unaishi naye unaweza ukajicheka!
Hilo linaitwa pendo la wazimu.....huambiwi kitu, hisikii, huoni, hunusi. Umefunga milango yote ya fahamu
Ndio vile nimesema ni baadhi si wote, ukiangukia kwa kundi la wanaopenda hadi tunaogopa ni shida sanaMapenzi yakiwaki sana sijawahi fikia huko namuomba Mungu nisiwahi penda hivyo.
Kuna wanawake anakuganda ova kupe haijalishi nyegge wala nini. Ushapendwa na mmasai? Usiombe. Anakupenda hadi unaogopaNyege zikiisha na upendo unakwisha
Ukipata wa hivyo inabidi nawew kwenda na biti hilo hilo mpendane hadi basiNdio vile nimesema ni baadhi si wote, ukiangukia kwa kundi la wanaopenda hadi tunaogopa ni shida sana
Nyama kidogo Mama ili tufaidi sote hiyo habariZote zimerudi
Akiwa mtu sahihi inafaa sana ,si vinginevyoUkipata wa hivyo inabidi nawew kwenda na biti hilo hilo mpendane hadi basi
Nikweli hakika .Akiwa mtu sahihi inafaa sana ,si vinginevyo
Oooo pole yake dada asali sanaHuenda kuna ndumba maana jamaa ni mshirikina fulani hivi
Hapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.Oooo pole yake dada asali sana
Kajala ana akili kaondoka na range na mwanae kafinguliwa duka la nguo
Nilishasikia hiyo kitu,hawa viumbe ni nomaHapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.