Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Huyo karogwa akili.
 
Kwelu mapenzi ni balaa,nimefuta namba ya huyo dada maana nilitarajia angalau arobaini ipite ndio mambo mengine yangefuata
Kuwa nazo ama kuzifuta namba za mpenzi wa mtu inakuongezea nini ama kukupunguzia nini?
 
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Naona wewe ndio kilaza zaidi kwa kutaka kuwawekea watu mipaka kwenye mapenzi yao. Punguza ukilaza mkuu maana wakiwa huko chobingo hujui wanaridhishana kwa kipi.
 
Naona wewe ndio kilaza zaidi kwa kutaka kuwawekea watu mipaka kwenye mapenzi yao. Punguza ukilaza mkuu maana wakiwa huko chobingo hujui wanaridhishana kwa kipi.
Tangu jimeandika uzi huu mpaka leo,hyo dada kamfumania jamaa,kalambwa makofi mpaka kulazwa na polisi wamepelekana.
 
Kamwe huwezi kutenganisha true love kwa kitu chochote,
True love ya kukwepa majukumu inapatikana bongo kwa wasio na ubongo tu.
True love ya wakati wa raha ipo bongolala land pekee.
Kipimo cha true love ni nyakati ngumu.
 
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Wanawake wasiokua na akili na viazi kama hao mbona wapo weng sana, tena wengi sana wapo, ndo walivy hawa wanawake akili zao zipo kwapani
 
Back
Top Bottom