Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

Kuna wanawake wajinga ila huyu ni mjinga nambari one

Huyo jamaa yako ajiangalie anaandaliwa bonge LA tukio
 
Hapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.
Nashangaa kuna Me wako makini sana na hivi viumbe, laiti wangejua mbali na kuishi kwetu kwingi ni neema za Mungu lakini kamwe usijichanganye kuelewa hawa Mama zetu utakiona cha mtema.............[emoji847]
 
Hapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.
Ndio hayo yapo pia lakin umeshaambiwa jamaa nikigagula🤣🤣inawezekana anacheza na akili ya mdada
 
Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.

Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano.hakuna sms wala calls wala matumizi .

Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.

Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.

Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.

Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana

Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Jamaa yako ameridi Kwa Gia ya kumuoa,

Ila akishakula Mzigo ,anasepa Tena.

Hakika Kuna Wanawake wapumbavu.
 
Huyo si mjinga. Huenda walikubaliana kuua hicho kimalaika. Vinginevyo ni mgonjwa au anatafuta mtoto mwingine. Kuna akina mama ambao walishakata tamaa ya kuolewa. Akipata wa kumpanda na kumpandikiza hajali yajayo.
Yaani wakubaliane waue kichanga chao alafu watafute kichanga kengine. Does it make sense mkuu?
 
Ulikua unamtaka shemeji yako ila kakuchomolea, pole sana maana imekuuma mpaka umeamua kuleta uzi uku jeiefu[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom