Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa kuna Me wako makini sana na hivi viumbe, laiti wangejua mbali na kuishi kwetu kwingi ni neema za Mungu lakini kamwe usijichanganye kuelewa hawa Mama zetu utakiona cha mtema.............[emoji847]Hapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.
Atakua shabiki wa SSC.
Ndio hayo yapo pia lakin umeshaambiwa jamaa nikigagula🤣🤣inawezekana anacheza na akili ya mdadaHapo hakuna uchawi hata toneee...!! Hivi hamjawahi kuona mwanamke kakataliwa na aliempa mimba alafu anatokea mtu anakubali kumuoa na kulea mtoto sio wake baada ya muda mwanamke anaanza Kuchepuka na yule aliempa mimba akamtelekeza???[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhana.
Kwan kajala na mibangi wameachana kiukweli kweli ?Kajala ana akili kaondoka na range na mwanae kafinguliwa duka la nguo
Kiazi mviringo kichwani kajaza makasi huyo ni zaidi ya kilazaKwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Jamaa yako ameridi Kwa Gia ya kumuoa,Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.
Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano.hakuna sms wala calls wala matumizi .
Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.
Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.
Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.
Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana
Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hawa viumbe na kuolewaa damu dam. Yani bora uwaueee ila sio kuikosaa ndoaaJamaa yako ameridi Kwa Gia ya kumuoa,
Ila akishakula Mzigo ,anasepa Tena.
Hakika Kuna Wanawake wapumbavu.
Wanapenda ile moment ya sherehe ya Harusi 😂.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hawa viumbe na kuolewaa damu dam. Yani bora uwaueee ila sio kuikosaa ndoaa
Yaani wakubaliane waue kichanga chao alafu watafute kichanga kengine. Does it make sense mkuu?Huyo si mjinga. Huenda walikubaliana kuua hicho kimalaika. Vinginevyo ni mgonjwa au anatafuta mtoto mwingine. Kuna akina mama ambao walishakata tamaa ya kuolewa. Akipata wa kumpanda na kumpandikiza hajali yajayo.
Sana tu wangapi wanawaua watoto kwa sababu mbali mbali halafu wanagundua makosa waliiyofanya?Yaani wakubaliane waue kichanga chao alafu watafute kichanga kengine. Does it make sense mkuu?
Mjini watu wanaishi kimkakati zaidi. Benefit Benefit Benefit!!Mbinu za kijasusi.[emoji41]
Labda Kama wanafuata shauri za waganga katika kutafuta maliSana tu wangapi wanawaua watoto kwa sababu mbali mbali halafu wanagundua makosa waliiyofanya?
yote yanaezekana pia habari inaweza kuwa inakosa baadhi ya facts ambazo wanazijua wahusikaLabda Kama wanafuata shauri za waganga katika kutafuta mali