Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
mapenzi ni upofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiHuyo si mjinga. Huenda walikubaliana kuua hicho kimalaika. Vinginevyo ni mgonjwa au anatafuta mtoto mwingine. Kuna akina mama ambao walishakata tamaa ya kuolewa. Akipata wa kumpanda na kumpandikiza hajali yajayo.
Dah mapenzi kizunguzunguHuyo si mjinga. Huenda walikubaliana kuua hicho kimalaika. Vinginevyo ni mgonjwa au anatafuta mtoto mwingine. Kuna akina mama ambao walishakata tamaa ya kuolewa. Akipata wa kumpanda na kumpandikiza hajali yajayo.
Hakika😅Huyo mwanamke nahakikisha ni mtanzania.🤣
Ni kweli mwanangu unaweza kudhani ummempata wakati umepatikana wewe. Ni suala la kufikiri nje ya box na bila boxDah mapenzi kizunguzungu
Nikweliii nahapo hata huyo msela hafananii na muoaji hyo dada ni mpuuzi sanaAngesubiri hata arobaini basi
Hapo hakuna mpuuzi wala mjinga. Wote wanatumiana kwa malengo na sababu tofautiDuuu akapimwe akili sio mzima
True love ni ile isiokuwa na conditions wala expiry date. Hizi zingine ni obsessions tu na illusions,True love Will always emerge victorous.
The lady seems to have madly fallen in love with the deadbeat father.
Hapo humwambii kitu, kafika kaweka nanga haoni ,hajiwezi achana na kitu inaitwa mapenzi ni balaaKwelu mapenzi ni balaa,nimefuta namba ya huyo dada maana nilitarajia angalau arobaini ipite ndio mambo mengine yangefuata
Hapo hakuna mpuuzi wala mjinga. Wote wanatumiana kwa malengo na sababu tofauti
Uko sahihi,malengo ya jamaa nayafahamu ila ya huyu shemeji sijayajua na hata kama yaoo hayana mashikoHapo hakuna mpuuzi wala mjinga. Wote wanatumiana kwa malengo na sababu tofauti
Hata maumivu ya kuondokewa na mtoto hayasikii kisa mapenzi ??Hapo humwambii kitu, kafika kaweka nanga haoni ,hajiwezi achana na kitu inaitwa mapenzi ni balaa
Hasa kwa baadhi yenu nyie wanawake ni shida. Mnapenda mtu ova Mungu wako. Sijui mnawehuka na nini.Hata maumivu ya kuondokewa na mtoto hayasikii kisa mapenzi ??
Mapenzi yakiwaki sana sijawahi fikia huko namuomba Mungu nisiwahi penda hivyo.Hasa kwa baadhi yenu nyie wanawake ni shida. Mnapenda mtu ova Mungu wako. Sijui mnawehuka na nini.
Niishie tu hapo. Mapenzi ni nyokkoh!