fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Nakubaliana naweyote yanaezekana pia habari inaweza kuwa inakosa baadhi ya facts ambazo wanazijua wahusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana naweyote yanaezekana pia habari inaweza kuwa inakosa baadhi ya facts ambazo wanazijua wahusika
Dah umeandika kwa uchungu sana ndugu inaonyesha ulitamani sana waachane labda ulikuwa na wewe unaplan yako kwenye ilo penzi kwahyo kurudiana kumekuumiza sana yaani umecatch feelings kama umeibiwa mke 😂😂😂😂😂Alipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.
Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .
Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.
Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.
Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.
Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana
Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
YawezekanaLabda Kama wanafuata shauri za waganga katika kutafuta mali
Kabisa,haijapata tokeaAlipewa ujauzito na rafiki yangu so ni shemeji yangu.
Mimba ilipofika miezi minne jamaa akakata mawasiliano, hakuna sms wala calls wala matumizi .
Mimba miezi mitano binti kasimamishwa kazi kwa muda mpaka ajifungue sababu ya complocation za mimba na nature ya kazi.
Miezi tisa binti kajifungua mtoto ana matatizo ya kiafya ikabidi kwa kuogopa ampigie rafiki yangu aliyempa ujauzoti kuwa amejifungua na mtoto anaumwa.
Baada ya siku mbili kichanga kinafariki,jamaa anakuja msibani.
Baada ya siku saba wamerudiana wanataka kuoana
Kwangu huyu ni mwanamke kilaza sijawahi kuona
Ahahahhahaha mapenzi yana siri sana usikute mwana anapita kote huko kwa u study wa hali ya juuUkute mwamba anazama uvinza mpka jalalani
Hapana,tena nilikuwa najitahidi kuwasuluhisha,ningependa warudiane ila angalau ingepita arobaini tangu kichanga kifariki sio siku sabaUlikua unamtaka shemeji yako ila kakuchomolea, pole sana maana imekuuma mpaka umeamua kuleta uzi uku jeiefu[emoji16][emoji16]
Upuuzi ambao utauona kwa mwenzio tu, ukiwa unaufanya wewe huwezi uona.Mapenzi mapenzi mapenzi 😅😅😅😅
Ni upuuzi
Tema mate chini!!Mapenzi mapenzi mapenzi 😅😅😅😅
Ni upuuzi
Huyo mwanaume Ni mtegeaji wa maisha nahisi alikuwa analelewa na huyo mwanamke kupitia kibarua.
Sorry siyo mwanaume hana sifa za kuitwa mwanaume.. Ni wazi aliogopa Majukumu, baada ya msiba karudi usikute mtoto aliuwawa.. mwanamke akipenda anawehuka kuua mtoto sababu ya ub*oo kawaida Sana kwakee.
Unafaa kuwa spy umepita mulemule,jamaa alikuwa anamdangia sana huyo dada,mengine pia yanawezekanaHuyo mwanaume Ni mtegeaji wa maisha nahisi alikuwa analelewa na huyo mwanamke kupitia kibarua.
Sorry siyo mwanaume hana sifa za kuitwa mwanaume.. Ni wazi aliogopa Majukumu, baada ya msiba karudi usikute mtoto aliuwawa.. mwanamke akipenda anawehuka kuua mtoto sababu ya ub*oo kawaida Sana kwakee.
😅😅😅kabisaUpuuzi ambao utauona kwa mwenzio tu, ukiwa unaufanya wewe huwezi uona.
Mapenzi ni matamu, bila mapenzi maisha hayanogi, yaani unaishi bila kupenda/kupendwa sasa upo duniani kufanyaje. Coz hata ufanyaje ni ngumu kuwa kama Einstein, Newton, Zuckerberg nk, hata mapenzi yakushinde mkuu🤣Akhuuuu
Ila mapenzi ni upuuuuuzi
Mapenzi matamu?? Aaah we hujui vitu vitamu kumbeMapenzi ni matamu, bila mapenzi maisha hayanogi, yaani unaishi bila kupenda/kupendwa sasa upo duniani kufanyaje. Coz hata ufanyaje ni ngumu kuwa kama Einstein, Newton, Zuckerberg nk, hata mapenzi yakushinde mkuu🤣
Niambie nini kinashinda mapenzi kwa utamu!Mapenzi matamu?? Aaah we hujui vitu vitamu kumbe
Ila wakuu kajala yule Ni empty Sina pesa Wala nikipata siwezi enda na kajala popote .. national dangaHapana huwezi mlinganisha na kajala