Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo picha ni AIKongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano ๐๐๐
View attachment 2838429
Watu wanapika wewe..Roast ya nyama na na chapati unadhani lazima akili bandia?Hiyo picha ni AI
We jamaa bhana, hujawahi kupikiwa hivyo nn ๐Hiyo picha ni AI
wengine hata uwawezeshe bure tu,Pongezi kwenu pia wanaume mnaowezesha wake zenu kuwapikia hivo.
Lazima budget iwe nzuri na Jiko liwe zuri pia.
nenda Ashkelon wewe, kwa mwezi unakunja 4m chapHiyo picha ni AI
Kupika napo ni kipaji sio kila mtu kajaliwa mkuu.wengine hata uwawezeshe bure tu,
AI inaleta balaa mtaani.Hiyo picha ni AI
๐คฃ๐คฃ๐คฃ ananipiga kitandani vilivyo mshenzi sana mwanamke yule ๐Nilistuka nilivyoona tittle nikajua unapigwa na mkeo
Hata yeye mwenyewe haelewi.Heading, haiendani na ulicho Andika, au mimi ndo sielewi ๐ค๐ค
kujiendekeza tu mamiloo, ukitaka unajifunza tu na unakuwa mtaalamu kuliko hata hao wenye kipaji, kuna demu wangu alikuwaga kunipa bj ni hataki, anasema anaona kinyaa, akaja akaolewa, siku tunakutana baada ya miaka kadhaa nikamtania tukapashe kiporo, akajbu ndo nilikuwa nasubiria uniambie, mamiloo nilifanyia vtu hajai nifanyia muda wote nilikuwa naye, mwishoni nikamuuliza, haya yote umejulia wapi? akanijbu mitandao baba.Kupika napo ni kipaji sio kila mtu kajaliwa mkuu.
Kuna wanaopenda kupika wengine wanapika ila sio kitu wanacho enjoy.
Hivo hivy kwenye majukumu mengine.
Makosa kidogo hapo mkuu, kupika โ kupiga โHeading, haiendani na ulicho Andika, au mimi ndo sielewi ๐ค๐ค