Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Mkeo annakupikia chakula kama cha mgahawani hivo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeoa au umeolewa?Kwani siku zingine hua anapikaje mpaka leo ndio umeamua kupost hiyo picha?
Coz sioni cha ajabu hapo,pengine hicho chakula ni cha ajabu kwako kutokana na vyakula ulivyokua unakula kabla ya hicho chakula kilichokushawishi mpaka kukipiga picha na kukianzishia Uzi JamiiForums.
Wewe anakupikiaga kama cha wapi? Pili mke unaye?Mkeo annakupikia chakula kama cha mgahawani hivo.
Mke wangu alinipikia hivyo vichapati nikamfukuzia mbali, mwanaume anakula sima tena iliyokomaa, hiyo peleka Zenji kwenye legelege.Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
View attachment 2838429
Vijana kama hawa wanamchango Mdogo sana kwa Taifa.Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
Nazinije mkuu na mke wangu?Acha uzinzi Mkuu.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
VizuriNazinije mkuu na mke wangu?
Mke wangu alinipikia hivyo vichapati nikamfukuzia mbali, mwanaume anakula sima tena iliyokomaa, hiyo peleka Zenji kwenye legelege.
Ndoa ni kwa ajili ya wanaume mashababi pekee sio kwa nyie walamba lipsi.KATAA NDOA, TUNZA KIBUNDACHO, UKAMPE MAMAYO.
KabisaPongezi kwenu pia wanaume mnaowezesha wake zenu kuwapikia hivo.
Lazima budget iwe nzuri na Jiko liwe zuri pia.
Nilipata mmoja namie mtoto anakatikia mashine yule balaa tena kwa mikao ya kila aina namuuliza huu utundu umeujulia wapi akanijibu kama huyo wa kwako mitandaoni hukokujiendekeza tu mamiloo, ukitaka unajifunza tu na unakuwa mtaalamu kuliko hata hao wenye kipaji, kuna demu wangu alikuwaga kunipa bj ni hataki, anasema anaona kinyaa, akaja akaolewa, siku tunakutana baada ya miaka kadhaa nikamtania tukapashe kiporo, akajbu ndo nilikuwa nasubiria uniambie, mamiloo nilifanyia vtu hajai nifanyia muda wote nilikuwa naye, mwishoni nikamuuliza, haya yote umejulia wapi? akanijbu mitandao baba.
kila kitu kinawezekana ni wewe tu na juhudi zako.
Nina mke mzuri kweli,ananipikia kma tuko morogoro vijijini, haweki sources nyingi hvo kwenye vyakula,Wewe anakupikiaga kama cha wapi? Pili mke unaye?
Jibu swali nililokuuliza,Umeoa au umeolewa?
kila kitu kipo mitandaoni mkuu, ni mtu tu kuamua kujifunza au kuacha.Nilipata mmoja namie mtoto anakatikia mashine yule balaa tena kwa mikao ya kila aina namuuliza huu utundu umeujulia wapi akanijibu kama huyo wa kwako mitandaoni huko
Umeshinda mkuu 🙏Jibu swali nililokuuliza,
Huko unakoelekea najua huwezi,jiheshimu ili uheshimiwe.
HAkuna cha shemeji wala shemegi,ni AI,mimi nimeiambia initengenezee,imetengeneza hizi picha ambazo hazina tofauti na za muleta hojaNaona shemeji kahitimu elimu ya mapishi anafanya majaribio
Acha wivu mzee babaKwani siku zingine hua anapikaje mpaka leo ndio umeamua kupost hiyo picha?
Coz sioni cha ajabu hapo,pengine hicho chakula ni cha ajabu kwako kutokana na vyakula ulivyokua unakula kabla ya hicho chakula kilichokushawishi mpaka kukipiga picha na kukianzishia Uzi JamiiForums.
Wivu wa kitu gani?