Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwahiyo niende next step?Naweza bhana😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo niende next step?Naweza bhana😃😃
Halafu December ndo hii😉, nasubiri big Boss utoe tamko naona kimya☺️☺️We jamaa hunipendi sana sijui nilikukosea nini Intelligent businessman ?. Huyu Leejay49 mimi na yeye ni washkaji tu !😅😅. Luwa na aman
Yeah,, you just go on 🤗🤗Kwahiyo niende next step?
Kupitia huu uzi ni rahisi sana kubashiri maisha ya mleta mada,Nyie watu mnaishi maisha gani na huwa mnakula nini?
Mbona ni msosi wa kawaida kabisa huo, na mtu anaejua mapishi hachukui zaidi ya dakika 20.
Ahahah ndio maana nauliza niende next step?Halafu December ndo hii😉, nasubiri big Boss utoe tamko naona kimya☺️☺️
Okay..acha nije tuyajengeYeah,, you just go on 🤗🤗
Sawasawa 👊👊, kuna kingine nijifunze kabisa??Ahahah ndio maana nauliza niende next step?
Mkishindwana huko,naomba na Mimi unipe nafasi nijaribu mistari yangu.Sawasawa 👊👊, kuna kingine nijifunze kabisa??
Vingine usijal.. ni automatic tu vinafundishika..mfano kutumia pesa na kula bata kuna haja ya kjjifunz kweli?Sawasawa 👊👊, kuna kingine nijifunze kabisa??
Ahahahaha..mzee wa "kwan huyo ndio nani huko Daslam?" 😂Mkishindwana huko,naomba na Mimi unipe nafasi nijaribu mistari yangu.
😀
mbona kushindwana😃,, ila safi najua nina back up kabisa 😂😂Mkishindwana huko,naomba na Mimi unipe nafasi nijaribu mistari yangu.
😀
Hapo sawaVingine usijal.. ni automatic tu vinafundishika..mfano kutumia pesa na kula bata kuna haja ya kjjifunz kweli?
Huu msosi akiuona Prof. Mohamed Janabi utajuta kumfahamu!Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
View attachment 2838429
Utakuwa umetoka kijijini ndani ndani huko! mboga mboga hakuna Wala matunda unasifia, Duuh kuwa uyaone!Kongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
View attachment 2838429
Weka mipango yako tu sawa maana ndio time zenyewe hizHapo sawa
Mkuu punguza wanga na mafuta mafuta. Mwilini, siku sio nyingi huo my wife wako anayejua kupika vijana watashughulikaKongole kwa wanawake wote mnaotupikia waume zenu vizuri, nyie ndio mnaotufanya tunawiri. Sasa kwa msosi kama huu nakupigaje goli moja kwamfano 😋😋😋
View attachment 2838429
Okay,,.. si hadi Christmas 😉Weka mipango yako tu sawa maana ndio time zenyewe hiz