Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,848
- 2,637
Shida ya hili game kwa Sasa limeshikwa huko USAFINI...
Kuna shida mahala..Yani ili utoke unalazimika kupita kwao.
Ifike mahala hizi media nazo ziache urasimu.
Huyu dogo Ni talent..
Marioo na wengine walitoka na hiyo wasafi ikiwepo, hiyo haiwezi kuwa excuse, ngoma konki itapenya tu kwenye masikio ya walaji na muhusika anagonga maokotoShida ya hili game kwa Sasa limeshikwa huko USAFINI...
Kuna shida mahala..Yani ili utoke unalazimika kupita kwao.
Ifike mahala hizi media nazo ziache urasimu.
Huyu dogo Ni talent..
Nyota haijang'aa
Shida yao wamekariri, sample za beat na jinsi ya uumbaji anaitumia za kinigeria ila uandishi wa maneno na melody ni vyake sasa utasemaje amecopy? Ni sawa Mimi niimbe RnB kama zile za kina R.kelly Kwa kutumia sample za beat hizo ila melody na uandishi uwe wangu, sa hapo ntakuwa nimemkopi nani?Mnaosema a me copy tupeni hizo og tuzione
Ni kama wanauvyotumia beat za Amapiano kwahyo wamekopyShida yao wamekariri, sample za beat na jinsi ya uumbaji anaitumia za kinigeria ila uandishi wa maneno na melody ni vyake sasa utasemaje amecopy? Ni sawa Mimi niimbe RnB kama zile za kina R.kelly Kwa kutumia sample za beat hizo ila melody na uandishi uwe wangu, sa hapo ntakuwa nimemkopi nani?
Hapo sasa, wakati ni unachukua sample tu za midundo then unaongezea vingneNi kama wanauvyotumia beat za Amapiano kwahyo wamekopy
Wee jamaa unajua sanaHamna msanii hapo, wenye jicho la kusikiliza tunasema hana jipya all ni copy and paste hana uniqueness yoyote hana tofauti na wafanya cover. Nimemaliza bisha.
Style yake ya kishambaKuna mtu anaitwa bando sijui kwann hatok
Mwanagu sana huyu, Mattan from Songwe, Jamaa saiz amejikita katika kutengeneza Jingle aMtafte na dogo mmoja anaitwa Mattan
Namkubali sana. Msizwa bosMwanagu sana huyu, Mattan from Songwe, Jamaa saiz amejikita katika kutengeneza Jingle a
Pamoja ba background za movie, ikiwemo sarafu, etc.
Hamna msanii hapo, wenye jicho la kusikiliza tunasema hana jipya all ni copy and paste hana uniqueness yoyote hana tofauti na wafanya cover. Nimemaliza bisha.