Kuna watafuta majina na wale wanaomanisha, ngoma ya bandari bado mbichi sana

Kuna watafuta majina na wale wanaomanisha, ngoma ya bandari bado mbichi sana

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Ndugu zangu Bwana wa Mbiguni akawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake na imekua. Nijikite kwenye mada moja kwa moja na kama kichwa cha habari kinavyohusika.

Nakumbuka kipindindi cha Mwendazake alijitokeza mwanaharakati mmoja alieitwa Kigogo, huyu bwana aliteka sana mtandao wa Tweeter, ila siku akakutana na mwamba Mh. Lissu alipotamka kwamba CHADEMA iandae vijana wakapate mafunzo inje ya nchi ili waje kabiliana na mwendazake. Ndipo Mh. Lissu kupitia mitandao ya kijamii alipo mpinga vikali, mara ile account ilianza badilisha dira.

Sasa kwa muda mfupi tunashudia huko Club House vipo vyumba vingi hufunguliwa, ila nilichokuja gundua kule kwenye vyumba husika, wapo ambao wapo kama moderators ni kutafuta umaarufu, au kuonesha ana nguvu kiasi gani katika vyumba vimefunguliwa. kwamba yeye anaamini watu wake 6 ambao huongea kwa jazba ndio kila kitu katika kutatua kila jambo bila kutojua kuna mtu haongei sana ila ukimpa nafsi anaweza kuja na suluhu kwa kile mwajadili.

Wajirekebishe haraka, na siku nitakuja vitaja hivyo vyumba na hao moderators wa ajabu wanaofikili vita yoyote inaweza shinda just kwa kuwa na watu wanaoongea sana.

Mwisho
Pongezi za dhati kwa wewe mwanamapinduzi wa kweli Maria Sarungi, unapigania kitu unachokiamini hata Maria Spaces ya jana imenipasua roho sana, ila fanya mpango kuwa na Maria Club House iliyo imara, kama ilivyo Maria Spaces.

Mbili tuombe CHADEMA TANZANIA kuimarisha kila wing kuwa na Club House imara japo CHADEMA Club House inafanya vizuri, kuna watu huko wanajua wanachofanya, ila nashukuru kwa mitandao mingine mpo vizuri.

Thanks.
 
Waachane na mambo ya mitandaoni, wajikite kupromote vijana wanaotunga nyimbo za kukomboa banadari na ardhi ya Tanganyika. Ney wa Mitego ametufunza jambo, kaachia wimbo wa dk 4 lakini nchi nzima inauongelea. Inatakiwa wimbo wa Ney ukianza kupoa zitoke nyimbo nyingi tena zinazoimbika kirahisi na watoto!
 
Ndugu zangu Bwana wa Mbiguni akawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake na imekua

Nijikite kwenye mada moja kwa moja na kama kichwa cha habari chausika

Nakumbuka kipindindi cha Mwendazake alijitokeza mwanaharakati mmoja alieitwa kigogo, uyu bwana aliteka sana mtanao wa tweeter , ila siku akakutana na mwamba Mh lissu alipotamka kwamba Chadema iandae vijana wakapate mafunzo inje ya nchi ili waje kabiliana na mwendazake , ndipo mh lissu pitia mitandao ya kijamii alipo mpinga vikali, mara ile account ilianza badilisha dira,

Sasa kwa mda mfupi tunashudia uko club house vipo vyumba vingi hufunguliwa, ila nilichokuja gundua kule kwenye vyumba husika ,wapo ambao wapo kama moderators ni kutafuta umaarufu, au kuonesha ana nguvu kiasi gani katika vyumba vimefunguliwa, kwamba yeye anaamini watu wake 6 ambao hungea kwa jazba ndo kila kitu katika kutatua kila jambo bila kutojua kuna mtu haongei sana ila ukimpa nafsi anaweza kuja na suluhu kwa kile mwajadili,.

Wajirekebishe haraka, na siku nitakuja vitaja hivyo vyumba na hao moderators wa ajabu wanaofikili vita yoyote inaweza shinda just kwa kuwa na watu wanaoongea sana.
Mwisho
Pongezi za dhati kwa wewe mwanamapinduzi wa kweli MARIA SARUNGI, unapigania kitu unachokiamini hata Maria space ya jana imenipasua roho sana, ila fanya mpango kuwa na Maria club house iliyo imara, kama ilivyo Maria space

Mbili tuombe Chadema tz kuimarisha kila wing kuwa na club house imara japo chadema club house inafanya vizuri, kuna watu huko wanajua wanachofanya , ila nashukuru kwa mitandao mingine mpo vizuri

Thanks
Kunapotokea mambo kama haya wapo AMBAO ndio WAKATI wao wa kutafuta majina,hasa kundi la kitengo cha kisheria.
 
Waachane na mambo ya mitandaoni, wajikite kupromote vijana wanaotunga nyimbo za kukomboa banadari na ardhi ya Tanganyika. Ney wa Mitego ametufunza jambo, kaachia wimbo wa dk 4 lakini nchi nzima inauongelea. Inatakiwa wimbo wa Ney ukianza kupoa zitoke nyimbo nyingi tena zinazoimbika kirahisi na watoto!
Binafsi natambua kila juhudi za mtu katika pambania kile anakiamini kwa njia mbali ,ila kule vipo vyumba ambavyo moderators sio wote , wanataka kujitwalia utukufu just kwa kuamini watu wachache ambao wenda wanawasiliana au wanaongea sana , basi wapiganaji wa kweli

Hii ni hatari sana kwa jicho lingine hasa pale watu mnapambania kitu kimoja ila inaonekana kakundi ka matu ndo wenye kumiliki mstakabali, njia , na mawazo ya kila aliejumuika mle, kuna watu wanaweza kuongea kwenye vyumba vile kila watakapo , wengine wapo juu wanapitwa

Mwisho itakuja fika vikundi vya watu kama hawa mbele ya safari anza kwamisha harakati za kweli kwenye makundi mengine , kama ilivyokua kwa kigogo

That's nimeomba wapigania ukweli, ambao hawajaanza leo , kujiimarisha huko club house , kwa kesho imara zaidi
 
Kunapotokea mambo kama haya wapo AMBAO ndio WAKATI wao wa kutafuta majina,hasa kundi la kitengo cha kisheria.
Mkuu wengine wala sio wanasheria ,wanasheria wengi tunaendelea kuwaona wakizungumza fact, ila sasa wapo baadhi sana hasa wishio nje wengine wapo na machungu sana wengine ukiwatafakari wanaweza kuja kuwa kama ilivyotokea kwa kigogo, na tabia hii ipo kwa baadhi ya moderators sio wote lakini, utashangaa aruka watu anawapa wale anaotaka kuwasikia
 
Back
Top Bottom