Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Aliyewahi kuwa Rais wa South Afrika aliwahi kusema HIV ni scam, ni biashara za wazungu.
 
Hao ni Individuals with homozygous genetic mutation lakini hata hivyo haimaanishi wana Kinga ya kutopata maambukizi kwa asilimia mia moja.
 
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Mkuu, umeelezea vizuri sana huu utaratibu wa jinsi VVU vinavyoingia mwilini na kinga mwili inavyofanya kazi. Suala la baadhi ya watu kuwa na kinga maalum dhidi ya VVU ni jambo la kushangaza na la kipekee. Hii inatuonesha jinsi mwili wa mwanadamu ulivyo na mifumo tofauti na inavyofanya kazi kwa namna mbalimbali.

Umeweka wazi pia jinsi chanjo ya dharura inavyoweza kusaidia katika kupunguza maambukizi ikiwa itachukuliwa mapema, na jinsi kinga za mwili zinavyoweza kuathiri mwenendo wa maambukizi ya VVU. Hili ni funzo kubwa, hasa kwa wale walio katika mazingira ya hatari, kujua kwamba kuna hatua zinazoweza kuchukuliwa haraka ili kujikinga.

Hongera pia kwa kuelewa vizuri masuala haya ya afya na kinga mwili. Wazazi wako wamefanya kazi nzuri kukusaidia kujipatia maarifa haya. Siku zote elimu ni nguzo imara ya maisha! Keep sharing knowledge, it helps wengi! 🙏👊
 
Mkuu, umeelezea vizuri sana huu utaratibu wa jinsi VVU vinavyoingia mwilini na kinga mwili inavyofanya kazi. Suala la baadhi ya watu kuwa na kinga maalum dhidi ya VVU ni jambo la kushangaza na la kipekee. Hii inatuonesha jinsi mwili wa mwanadamu ulivyo na mifumo tofauti na inavyofanya kazi kwa namna mbalimbali.

Umeweka wazi pia jinsi chanjo ya dharura inavyoweza kusaidia katika kupunguza maambukizi ikiwa itachukuliwa mapema, na jinsi kinga za mwili zinavyoweza kuathiri mwenendo wa maambukizi ya VVU. Hili ni funzo kubwa, hasa kwa wale walio katika mazingira ya hatari, kujua kwamba kuna hatua zinazoweza kuchukuliwa haraka ili kujikinga.

Hongera pia kwa kuelewa vizuri masuala haya ya afya na kinga mwili. Wazazi wako wamefanya kazi nzuri kukusaidia kujipatia maarifa haya. Siku zote elimu ni nguzo imara ya maisha! Keep sharing knowledge, it helps wengi! 🙏👊
Asante sana
 
Mkuu, umeelezea vizuri sana huu utaratibu wa jinsi VVU vinavyoingia mwilini na kinga mwili inavyofanya kazi. Suala la baadhi ya watu kuwa na kinga maalum dhidi ya VVU ni jambo la kushangaza na la kipekee. Hii inatuonesha jinsi mwili wa mwanadamu ulivyo na mifumo tofauti na inavyofanya kazi kwa namna mbalimbali.

Umeweka wazi pia jinsi chanjo ya dharura inavyoweza kusaidia katika kupunguza maambukizi ikiwa itachukuliwa mapema, na jinsi kinga za mwili zinavyoweza kuathiri mwenendo wa maambukizi ya VVU. Hili ni funzo kubwa, hasa kwa wale walio katika mazingira ya hatari, kujua kwamba kuna hatua zinazoweza kuchukuliwa haraka ili kujikinga.

Hongera pia kwa kuelewa vizuri masuala haya ya afya na kinga mwili. Wazazi wako wamefanya kazi nzuri kukusaidia kujipatia maarifa haya. Siku zote elimu ni nguzo imara ya maisha! Keep sharing knowledge, it helps wengi! 🙏👊
Hapo kwenye NYONGEZA:
Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.##Chanjo imesababisha cell kutokuona VVU vilivyoingia,then hivyo VVU vinakwenda wapi baada ya hapo,vinakufa au vinaendelea kuwepo kwenye damu...?
 
Hapo kweny NYONGEZA:
Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.##Chanjo imesababisha cell kutokuona VVU vilivyoingia,then hivyo VVU vinakwenda wapi baada ya hapo,vinakufa au vinaendelea kuwepo kwenye damu...?
Vinakufa Kaka. Baada ya muda mfupi. Uhai wa VVU unategemea Seli za Kinga za mwanadamu
 
Back
Top Bottom