Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Kuna watu ambao hawapati maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Kidagaa kimemwozea JamiiCheck
Ndiyo, kuna baadhi ya watu ambao wana kinga asilia dhidi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU). Kwa mfano, baadhi ya watu wenye mabadiliko maalum kwenye kiini cha CD4 cha mfumo wa kinga (mabadiliko kwenye geneti inayoitwa CCR5-Δ32) wanaweza kuwa na kinga dhidi ya aina fulani za virusi vya UKIMWI. Hii ina maana kuwa virusi haviwezi kuingia kwenye seli zao kwa urahisi.

Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa hii ni hali adimu na haimaanishi kwamba watu wengine wanaweza kuwa salama bila kutumia hatua za kuzuia maambukizi kama vile matumizi ya kondomu au dawa za kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
 
Umenikumbusha mbali sana darasa la immunology chini ya Prof Giorgio.

Ambao wanapinga ni labda hawakuisoma immunology vizuri hao virus wana target /area za attachment kama ikitokea shida katika taarifa za vinasaba kuna watu wanamiss hizo attachment ndio hapo wanakuwa hawako prone kuambukizwa .

Trial zilishafanyika kwa watu walioonekana wana shida hiyo walilipwa wawe exposed na kupimwa baadae na hawakuwa na maambukizi.

Very interesting.
 
Ulichokiandika kweli kipo,ila maelezo ya ufafanuzi ndio umekosea,kweli kuna kundi la watu ambao hawawezi kuambukizwa virusi vya ukimwi,na sababu ni kwamba seli zao za damu hazina receptors ambazo kirusi cha ukimwi huwa kinajiattach kabla hakijaingia ndani ya seli nakuanza kujimultiply hizo receptors nadhani zinaitwa CCr if i am not mistaken
 
Kidagaa kimemwozea JamiiCheck
Ndiyo, kuna baadhi ya watu ambao wana kinga asilia dhidi ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU). Kwa mfano, baadhi ya watu wenye mabadiliko maalum kwenye kiini cha CD4 cha mfumo wa kinga (mabadiliko kwenye geneti inayoitwa CCR5-Δ32) wanaweza kuwa na kinga dhidi ya aina fulani za virusi vya UKIMWI. Hii ina maana kuwa virusi haviwezi kuingia kwenye seli zao kwa urahisi.

Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa hii ni hali adimu na haimaanishi kwamba watu wengine wanaweza kuwa salama bila kutumia hatua za kuzuia maambukizi kama vile matumizi ya kondomu au dawa za kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI.
Kweli mkuu
 
Umenikumbusha mbali sana darasa la immunology chini ya Prof Giorgio.

Ambao wanapinga ni labda hawakuisoma immunology vizuri hao virus wana target /area za attachment kama ikitokea shida katika taarifa za vinasaba kuna watu wanamiss hizo attachment ndio hapo wanakuwa hawako prone kuambukizwa .

Trial zilishafanyika kwa watu walioonekana wana shida hiyo walilipwa wawe exposed na kupimwa baadae na hawakuwa na maambukizi.

Very interesting.
Naam kk
 
Mimi Hapa Pia Mwenyenzi Mungu amenijalia kwa wema wake hali hii ya kutokuambukizika HIV na STDs..
Ndo Maana Namshukuru Leo Hii Kwa Kuchangia Damu.
 
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
hot-cuppa (1).gif
 
Je, hao watu ni tofauti na wale Carriers? Nilisikia miaka fulani, Carriers wanaambukiza tu ila wao hawadhuriki na VVU, na ikitokea Hospitali ikamtambua Carrier yupo sehemu fulani anakuwa anafuatiliwa sana, sijui kwa sasa ipoje?
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
 
Lipo kundi dogo la watu duniani ambalo hawawezi kupata VVU hata waongezewe Damu yenye VVU. Watu Hawa niwachache Sana pia hapa Tanzania wapo. Group la Damu halihusiani Ila kinachohusika Ni kingamwili .

Watu Hawa kimsingi Kinga mwili zao Zina udhaifu fulani hivi , wa kutokupambana na magonjwa ndio pona pona Yao.

UKIMWI UNAVYOINGIA MWILINI
Baada ya VVU kuingia katika mfumo wa damu Kinga imara za mwili zinaanza mpambano Mara moja (Muulize MTU mwenye VVU alihisije katika Wiki tatu za mwanzo za maambuki) mpambano huu huanza baada ya saa 72.

Kwakuwa seli zinapambana na VVU kwa mtindo wa kukumbatia na kufungia VVU zinachukua Kama faida kutumia seli hizo hizo za magonjwa kujiimarisha na kuishi ndani ya mwili. HII INA MAANA KUWA KAMA SELI ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA HAZITAPAMBANA NA VVU VILIVYOINGIA MWILINI HUTOPATA UGONJWA HUO
hapa tunaweza kuhitimisha kuwa kadri Kinga zako zitakuwa Active ndio utaufanya VVU vijikite kwa haraka zaidi.

Nyongeza: Chanjo yakuzuia maambukizi ikiwa MTU amejiweka katika hatari hugs kazi chini ya saa 72 tangu uingie kwenye hatari hiyo, mechanism inavyofanyika nikuzifanya seli Kinga zako kutokuona VVU VILIVYOINGIA MWILINI Kama adui (ugonjwa) na hivyo Hakuna mpambano nahiyo ndio pona yako.

Namshukuru Mungu Ada ya wazazi wangu haukuenda Bure.
Moderators why "MPYA" categorisation??
Hii sio habari mpya.
 
Wew dogo una elimu ndogo kuhusu HIV. Ni kweli wapo watu hawawez ambukizwa ila mechanism no kwamba hao watu hawana receptor protein kwenye immune cells zao (CD4 T Lymphocytes). Ili virus aweze kuingia kwenye izo type za WBC ni lazima ziwe na recptors for HIV kama hana hawawez ingia kwa cell ku explot the genetic content and protein for their multiplication. Kumbuka wanavojimulply withe the CD4 T lympocytes matokeo yake iyo cell ita ruptere ili wa infect other cells. Ku rupture kwa cells ndiko hufanya CD4 T Lympocytes kupungua na ilo ndilo tunaloita upungufu wa kinga mwilin. Anyway madogo wa clinical officer na D zenu mbili mnazngua sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240913-130748_1.jpg
    Screenshot_20240913-130748_1.jpg
    162.5 KB · Views: 11
Wew dogo una elimu ndogo kuhusu HIV. Ni kweli wapo watu hawawez ambukizwa ila mechanism no kwamba hao watu hawana receptor protein kwenye immune cells zao (CD4 T Lymphocytes). Ili virus aweze kuingia kwenye izo type za WBC ni lazima ziwe na recptors for HIV kama hana hawawez ingia kwa cell ku explot the genetic content and protein for their multiplication. Kumbuka wanavojimulply withe the CD4 T lympocytes matokeo yake iyo cell ita ruptere ili wa infect other cells. Ku rupture kwa cells ndiko hufanya CD4 T Lympocytes kupungua na ilo ndilo tunaloita upungufu wa kinga mwilin. Anyway madogo wa clinical officer na D zenu mbili mnazngua sana.
Kwahiyo unaniponda
 
Ukimwi na stories zake za kuingia sijui kupambana na Kinga ni chai Kama chai zingine.
 
Back
Top Bottom