Kuna watu hawawezi pitisha siku hawajagombana na mtu

Kuna watu hawawezi pitisha siku hawajagombana na mtu

Wapo usiombe akawa demu wako. Hana jema. Ukimletea zawadi ni ugomvi. Usipo ni ugomvi. Hana jema hata.... Hata ukimwambia nakupenda analianzisha... " kawaambie hao malaya wako... Unadhani. Utanidanganya kirahisi... Huna lolote wewe. Umalaya tu umekujaa"
Niliamua tu kumuacha maana niliona sipati furaha wala amani nilokua naitaka.
 
Inashangaza sana. Sijajua ni njaa, stress, hulka, muwasho wa ngozi, mikono au nini.

Watu ni wagomvi balaaaaaah... Yaani anaweza hata kununua ugomvi wa mtu akaingilia akauchukua yeye. Sijui shida ni nini.... Sisi wengine ndo tumekuwa punching bags zao.

Sababu ya upole huu unakuta umekaa tu mtu anakuja anataka umpakate. Unashangaa whyyyyyyy? Kwa nini? Unashangaaaa kinyama yaani.

Jambo hili si zuri ndugu zanguni sisi wengine kung fu, tae kwan ndo, karate zimelala hapa. Basi tu hatutaki kujionesha kwa watu. Ila tukiamua kukichafua humu JF hatobaki mtu na mademu wenu tunachukua maana kiuchumi tupo poa pia. Ndo maana mnakuja lia lia humu na wengine mnaachwa.

IMG_4786.jpg

IMG_4789.jpg

mbona we unagombezwa na mkeo kisa huwezi kutoa ujumba????
 
Back
Top Bottom