Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ovyooo!
Mmmmmmmmmmh....
Hahhana mi simo....!!!
Aisee nimekamilika kila idara hiyo haifanyi kazi hata kidogo@mshana jrHahhana mi simo....!!!
Ahaaaa mshana jr ndio mwisho wa matatizo....
Ngoja afanye yake
Wewe nisije kupigwa kipapai mie sitakii
Aaaah wap yake hamna kitu hapo
Miye sibebi mali za watuHawawezi, upo salama...
Mzee mshana atakulinda... atakufukiza uvumba ambao hauta onekana kweny rada zao
Hawawezi, upo salama...
Mzee mshana atakulinda... atakufukiza uvumba ambao hauta onekana kweny rada zao
Mmmmh...
Miye sibebi mali za watu
Aaaah wap yake hamna kitu hapo
Ahaaaa mshana jr ndio mwisho wa matatizo....
Ngoja afanye yake
Kipindi kile ukimwi unaua sana. Kuna njemba iliRIP wananchi wakapanga kuzika jioni. Wakati wa ibada ya kikatoliki padre akaimwagia maiti yale maji wanasema ya baraka.... kulaaleki maiti ikapiga chafya.... Nakumbuka Padre aliyekuwa anawapa watu faraja ndio aliongoza zile mbio za marathoni... Sijawahi ona riadha ya namna ile maana hata kilema alisahau magongo akaunga msafara wa marathoni...
Maiti inatisha acheni masihara. Sijui kwanini zinamheshimu mshana jr