Kuna watu hufa mara mbili

Kuna watu hufa mara mbili

Kufanya kazi mochwari ni jambo la kushangaza? Imagine wasingekuwepo. Hah hahhj
 
Hawawezi, upo salama...
Mzee mshana atakulinda... atakufukiza uvumba ambao hauta onekana kweny rada zao


Miye sibebi mali za watu

Aaaah wap yake hamna kitu hapo

Ahaaaa mshana jr ndio mwisho wa matatizo....
Ngoja afanye yake

Mkuu ni huyu mrembo miss gisenyi
Mmmmmmh....

Ila asione atoto wala yule mdogo wake

Tauaaa mtuu.....
 
Last edited by a moderator:
Kipindi kile ukimwi unaua sana. Kuna njemba iliRIP wananchi wakapanga kuzika jioni. Wakati wa ibada ya kikatoliki padre akaimwagia maiti yale maji wanasema ya baraka.... kulaaleki maiti ikapiga chafya.... Nakumbuka Padre aliyekuwa anawapa watu faraja ndio aliongoza zile mbio za marathoni... Sijawahi ona riadha ya namna ile maana hata kilema alisahau magongo akaunga msafara wa marathoni...

Maiti inatisha acheni masihara. Sijui kwanini zinamheshimu mshana jr

Ha ha haaaaa, haaaaa haaaaa. Nimecheka mpk nimepaliwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom