Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi kile ukimwi unaua sana. Kuna njemba iliRIP wananchi wakapanga kuzika jioni. Wakati wa ibada ya kikatoliki padre akaimwagia maiti yale maji wanasema ya baraka.... kulaaleki maiti ikapiga chafya.... Nakumbuka Padre aliyekuwa anawapa watu faraja ndio aliongoza zile mbio za marathoni... Sijawahi ona riadha ya namna ile maana hata kilema alisahau magongo akaunga msafara wa marathoni...
Maiti inatisha acheni masihara. Sijui kwanini zinamheshimu mshana jr
ninacho amini yapo mengi ambayo siyaoni na siyafahamu kabisa
hufurahi pale ninaposikia jambo geni katika masikio yanguu
huu uzi swahiba nifah hujauona au ndo woga
pole rafiki za asubuhi hebu twendeNaogopa swahiba, kifo sio mchezo ati!
Hata kusoma tu sitaki.
Nina mashaka na madaktari wetu wanaotoa maamuzi kwamba sasa huyu mtu amekufa... Kuna jamaa alikurupuka kutoka kwenye fridge na kuingia mtaani anafahamika hapa mjini kwetu... Na ni mzima hadi Leo....
Pendael24 kuna roho halafu kuna mwili halafu kuna ufahamu!huu ufahamu ndio kila kitu ni energy ambayo haifi
Mh twende taratibu kiongozi
Kuna mind body n soul
Is soul=to spirit?
Kisichokufa ni nini ni roho au ufahamu? Kama Conscious =mind which has all feelings n every effect in physical form mtu afapo hivi hufa ila roho ndio hubaki milele
Sasa umenichanganya uliposema ufahamu haufi nijuavyo ufahamu hufa n roho ndio haifi.niweke sawa
kifo ni mara moja, hicho cha pili ni chako kupiga mateke watu waliokuwa wamezimia na madaktari kutokuwa makini kuthibitisha, teke lako huwapa mshutuko mkubwa na kufa! waziri mkuu mmoja alienda kuiona maiti ya dereva aliefariki kwenye ajali ya msafara wake, alipoikuta maiti inatoka damu alishauri itolewe mochwari na kupelekwa icu, yule dereva alitibiwa akapona!
CC Jerrymsigwa Swaga zetu