Maiti inalia na kutoa kamasi?mshana jr Nakumbuka ulishawahi kuleta mada karibu inafanana na hii ya maiti kubembelezwa.... saa nyingine unaweza kufunga vifongo vya shati ukashindwa kabisa yani vinapishana. Nilikuwa siamini, yaani ni kama bahati au ndiyo nilikuwa napelekwa kwenye mafunzo. Nilihudhuria msiba wa kijana mmoja nadhani alikuwa na miaka kama 22 hivi, tulikuwa tunamuaga hapa Dar ili akazikwe kwao Dodoma.
Taratibu zote zilipokamilika ikiwamo ibada kwisha ikabidi kutoa heshima za mwisho. Watu wakatoa heshima zao, baba yake mkubwa akawa anaenda kutoa heshima alikuwa wa mwishomwisho hivi, cha kushangaza maiti ikaanza kulia na kutoa makamasi kama mtu aliye hai..
. ikabidi ndugu waitane nami nikasogea karibu ijapokuwa sikuwa ndugu... wakaongelea jambo hilo...mama mmoja aliyekuwepo hapo nadhani ni mtu wa Mbeya aliwaambia wachukue nguo zake waziweke ndani ya jeneza mpaka Dodoma. Na kweli walifanya hivyo na maiti ikaacha kulia. Nilistajabu sana kwani sikuwahi kuona maishani mwangu.
Nimesoma uzi huu from A to Z. Kuna vitu vingi binadamu hatuvijui, na tunaoamini katika Mungu tunajua Mungu kazuia tusivijue ili tusiwe na hofu ya maisha yetu na tuzidi kuwa na amani...
Hahahaha!! Kwani usiku unahusiana nini na watu kufa mara mbili?!usiku huu mpwaaa....
Na hii ilikuwa imezidi hasa maeneo ya kijijini kwetu! Mtu akianguka saa tatu kufikia saa sita tani sita zipo juu yake, sasa inatokea akazimika mshikaji wangu wa kalibu kwa mida kama ya saa nne! Basi kaburi likachimwa na maandalizi yote....saa tisa msafara kwa mazishi uanze jamaa akaludi....mpaka leo yupo na anamaisha yake poa tu!na kama ukikutana na wale ndugu zetu ambao ukianguka asubuh mchana kwishney udongoni ndo kabisaaaaaaaaa
Una maana nitaenda kufanya kazi mortuary au ???Vema kuyajua mapema ili siku ukikutana nayo usibabaike
nami pia usiniache nyumaKwa haya niloyasoma leo Hishma yako mkuu @mshana jr naomba unitag kwny iyo ya intelligence
Ndugu Mshana jr nialike mimi piaHappy New Year mtani long time no see
SASA HUYU MSHANA KU.NYA SIJUI TUMWELEWEJE?LEO ANAJIFANYA ANAFANYA KAZI MOCHWARI WAKATI 24HRS 7DAYS A WEEK YUPO MTANDAONI,ETI KAISINDIKIZA MAITI KWA TEKE.ANATAFUTA WATEJA WA USHIRIKINA ILI AWAUZIE VITU VYA MAITI FEKI,TUJIHADHARI NA HUYU JAMAA ANATUMIA JAMII FORUM KUTANGAZA BIASHARA FEKI.Hapo pa kuisindikiza na teki pameniogopesha, Ujasiri unahitaji. Naweza kukubaliana na wewe @mshana jr kwamba ni kweli wale wanaohudumia huko akili zao zimeona mengi mpaka wamekuwa kama wendawazimu