Kuna watu hufa mara mbili

Kuna watu hufa mara mbili

Mi niliwahi sikia hata maiti nyingine zinagoma kunyoosha miguu au hata kuvaa nguo mpaka zipigwe ndio zinakubali
kuna kitu kinaitwa RIGOR MOTIS...Kukakamaa kwa misuli baada ya mnyama kufa..hali hii haitokei kwa binadamu tu ata kwa wanyama wengine..ndiyo maana inashauriwa kumuweka marehemu vizuri kama kumfunga macho n.k kabla hajakakamaa au haja undergo rigor motis..unapochelewa kumuweka vizur ndiyo hizo nyundo unazoziongelea hufuata....kwa hyo siyo uchawi mzee..
 
chicken - Copy.jpg

Rigor motis
 
Ila mochwari kunavituko sana halafu wale jamaa wa mle wanavuta bangi sana napombe ndomana akilizao haziko sawa tuliwahi kufata mwili wa jamaayetu mmoja tukakuta mlinzi wa mle anakunywa chai akiwa humokwenyechumba cha kuhifadhia maiti alipo funua friji ili tumwangalie mtu wetu kama niyeye chaajabu tulikuta ametunza papai kwenyefriji za kuhifazia maiti sasa nikajiuliza lile papai amelitunza ili badae ale au?yani hao jamaa walishabakiza akili za kuvalia nguo na kuvukia barabara

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu kumbe umewahi kuwa mfanyakazi wa mochwari? hongera kwa uvumilivu wako....

lakini pia nahisi we ni mchawi....topic zako zmekaa kichawichawi mno....

Naomba unifundishe na mimi huo uchawi ili niwafutilie mbali maintarahamwe na kina Jecha...

natanguliza shukrani ndugu
 
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.

Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.

Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.

Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?

Bado kuna mengi hatuyajui.
Hizi nazo pombe bro mshana
d621497775f6390eb4886adc8db6b595.jpg
 
Hakuna kitu kama hiki duniani.... labda huyo maiti alkua hajafa kabla ya kupelkwa mochwari..
 
Mwanangu huyu bundi nae msikia sasa hivi hapa anamaana gani tena!!
 
Mochwari kuna mambo kwakuwa mhudumu yupo duniani wanaohudumiwa roho zao zipo ahera,yataka moyo kuna mengi bado ni kitendawili
 
Back
Top Bottom