kuna kitu kinaitwa RIGOR MOTIS...Kukakamaa kwa misuli baada ya mnyama kufa..hali hii haitokei kwa binadamu tu ata kwa wanyama wengine..ndiyo maana inashauriwa kumuweka marehemu vizuri kama kumfunga macho n.k kabla hajakakamaa au haja undergo rigor motis..unapochelewa kumuweka vizur ndiyo hizo nyundo unazoziongelea hufuata....kwa hyo siyo uchawi mzee..Mi niliwahi sikia hata maiti nyingine zinagoma kunyoosha miguu au hata kuvaa nguo mpaka zipigwe ndio zinakubali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila mochwari kunavituko sana halafu wale jamaa wa mle wanavuta bangi sana napombe ndomana akilizao haziko sawa tuliwahi kufata mwili wa jamaayetu mmoja tukakuta mlinzi wa mle anakunywa chai akiwa humokwenyechumba cha kuhifadhia maiti alipo funua friji ili tumwangalie mtu wetu kama niyeye chaajabu tulikuta ametunza papai kwenyefriji za kuhifazia maiti sasa nikajiuliza lile papai amelitunza ili badae ale au?yani hao jamaa walishabakiza akili za kuvalia nguo na kuvukia barabara
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
But that's a fried chickenView attachment 331883
Rigor motis
Hizi nazo pombe bro mshanaUnaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.
Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.
Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.
Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?
Bado kuna mengi hatuyajui.
Unaiambiaje?Kuna lugha ya kuongea na marehemu
Aise!Kuna jinsi ya kuongea na hao jamaa kama ilivyo kwa
-boss
-mpenzi
-mzazi
-rafiki
-mfanyakazi wako
Nk nk