Kuna watu hufa mara mbili

Maiti akiamka na wewe ukamwacha tu bila kumpiga teke arudi kulala nini kitatokea? Je ataendelea kuwa hai?
 
Maiti akiamka na wewe ukamwacha tu bila kumpiga teke arudi kulala nini kitatokea? Je ataendelea kuwa hai?
Imagine akitoka akatokomea kusikojulikana si jumba bovu litakuangukia...??? Hapana siwezi kukubali ikisimama tu naituliza..... kesi za wizi/upotevu wa maiti ni noma
 
Kuna mtoa hoja alisema roho inakuwa imetoka lakini mwili unataka mambo yake yaendelee,
Sisi kwetu iliwahi tokea bibi alipofariki(bi mkubwa dadake bibi) aligoma kuingia kwenye nyumba ya mwanaye (baba mkubwa)na awali siku aliyofariki wakati wa kuosha mwanaye alitaka kuingia wanapomkogesha maiti iligoma kuoshwa(ilijibana kwenye vidole na mikono kwa nguvu)mpaka mmoja kumuomba atoke , alipotoka ilikaa sawa. Wakaja watu wakamuomba amsamehe mwanae.
Wakati wa kuzika yule baba alipendekeza maiti iingie ndani kwenye nyumba anayoishi yeye kwake kwani ndie mama yake pekee na ndiye mtu pekee aliyebaki hai kama mwanae, wakati wa kutaka kuiingiza watu walihangaika na jeneza mlangoni halikupita mpaka wale wazee wakamuomba marehemu amsamehe kijana wake. Baada ya maombi jeneza liliingia bila shida.

Watu wa karibu wanadai alimnyanyapaa mama ake mzazi kwa kumsikiliza mke kipindi ambacho yeye mgonjwa hajiwezi.
 
hiyo hospital,hawafanyi last office?au akifika mortuary anafunguliwa?manake nafkiria hayo macho anayatoaje ndani ya shuka?
 
Nimewahi kuskia kuna wahudumu wengine wanakuwa na rungu wakiona umefufuka wanakumaliza kimyakimya
 
teh teh teh teh eti unaisindikiza na teke weee dhubutu sidhani kama hata hizo nguvu utakuwa nazo zaid ya kupata kifafa cha ghafla
 
inasemekana waafrika weng tunazikan angali tu hai.wenzetu mtu anapodhaniw kufa hupimw na vipimo ver effectivenes.mfano baada ya kuchek heartbeat kuna machine i think ni kama wana ku bust kifuani kama 3times hv usiposhtuka bas ni majib tosha umekufa
 
Inaezekana maiti alikuwa anaota
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
saa nyingine hata kukosa hewa huchangia
 
Ukute mangi kafa siku anaenda kulipwa deni lake lazma akurupuke kifoni
 
Mkuu ina maana kati ya hizo maiti hakuna inayomzidi huyo mtu wa mochwari ujanja akapigwa yeye na kufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…