Kuna watu hufa mara mbili

Utashangaa kuna watu wanaogopa mtu aliyekufa....
Nashindwaga kuelewa wanawaza nini na mtu aliyekufa hana lolote la kumdhuru mtu.....
 
Utashangaa kuna watu wanaogopa mtu aliyekufa....
Nashindwaga kuelewa wanawaza nini na mtu aliyekufa hana lolote la kumdhuru mtu.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kwa vile dini ziliwaaminisha kuwa kifo ni kitu kibaya kabisa
 
mshana jr ni bora ikifufuka usiipige teke ni kuirudisha wodini na nduguze wakija watakushukuru kuwa umeifufua ukaingia katika vitabu vya Guinness
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kisa kuingia vitabu vya rekodi hapana kaka..ndugu wengine sio kabisa na bado kuna hilo dubwana linaitwa serikali...utahangaishwa mpaka uione dunia chungu
 


Yule zeru zeru. Nilikutaga hizo story ila sinauhakika kama ni kweli.
 

Kaka hapo kwenye kumalizia na teke, kazi nyingine zinahitaji uwe na roho mbaya na ujasiri uliopitiliza
 
Huyo anaekufa mara mbili atakua ana unfinished business... Hata ya yule mzee wa unfinished business itatokea ivo ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…