Kuna watu hufa mara mbili


Hapa ndio umenichanganya kabisa.
Kule intelijensia akina pasco walisema roho haifi, nawewe ukakubaliana nao.
Kweli kaka ufahamu ndio unao proceed aftetlife? Sio roho?
 
Aisee....

Na makaburini ulienda kufanya session gani??

Nakumbuka miaka ya nyuma, tulikuwa tunaishi jeshini zaman kidgo, kulikuwa na kota za jeshi zilizo karibu na makaburi, kwa watu wanaoweza kufahamu Uwanja wa GOLF Uliojeshini watafahamu ukaribu wa haya makaburi na kota hizo, tumekuwa katik mazingira ya kwenda kuwinda na mbwa huko, kutega ndege maana back then ilikuwa machaka mengi na mapori, kuna mambo yalikuwa yanatokea kipindi hiki ndo naanza kuona haikuwa kawaida tulivyokuwa tukifikiria na kudhani
 

huyu ni kiboko, kuna baadhi ya kazi itabidi ukubaliane na kila hali. watu wengine hata kutoa heshima za mwisho kwa marehemu hawezi kabisa
 
Hapa ndio umenichanganya kabisa.
Kule intelijensia akina pasco walisema roho haifi, nawewe ukakubaliana nao.
Kweli kaka ufahamu ndio unao proceed aftetlife? Sio roho?

Mwili ni jumbabovu tu la kubeba conscious soul hivyo yaweza kutua popote na kuwa chochote conscious soul haifi na ndio maana kwenye dini na imani zetu tunahubiriwa habari za moto wa milele au pepo ya milele au reincarnation
Roho haifi kwa kuwa ni energy na nafikiri unajua definition ya energy
 
Hao watu na wanyongaji sitaki hata kuwa karibu nao.

Kuna mmoja juzi nimemsikia ameshamega warembo zaidi ya 50. Yani kakiri kabisa kwenye interview....

Sasa huyu ni mtu wa kumzoea??

Ivi babu, ile laana yako ulitubia?
 
huyu ni kiboko, kuna baadhi ya kazi itabidi ukubaliane na kila hali. watu wengine hata kutoa heshima za mwisho kwa marehemu hawezi kabisa

Huyu mama kiboko asee.... kama kaolewa mmewe lazima atakuwa shujaa...
 
Sasa mkuu mshana maiti ikisha simama wewe teke unapiga ya nn? Au kwa nn umbembeleze ili aendelee kufa si umbembeleze aongee na atembee?? Mm ningejitoa akiri nikaihuliza maswali nikaona kama atajibu akjijibu basi naita watu kuwa huyu hajafa. Au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…