Kuna mmama mmoja pale KCMC simpatii picha. Tumeenda kuchukua maiti mochware attendant haonekani. Tumesubiri kama masaa matatu hivi.... mara mlango wa mochware ukafunguka.... Akatuomba samahani alipitiwa na usingizi...
Unawezaje kulala na maiti kwa mfano? Yani na usingizi unakuja kabisaaa?? Afu mwanamke.
Nilimvulia kofia
Aende wapi wakati ameshathibishwa na daktari tena kwa maandishi kuwa kafa? Anataka kuwaletea watu skendo? Kwanini asingenyanyuka huko huko? Aende zake huko
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye
Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu
Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena
Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ? Bado kuna mengi hatuyajui
Mgirik hebu tembelea ile mada yangu ya "kuongea na wafu, maarifa yaliyoshindikana ulimwenguni " kuna full package ya hii kitu! Ngoja nikaitafute nikualikeHebu mshana jr ungeshusha paragraph ya kutosha kuhusu hyo ya maiti na makaburin maana nahisi kuvutiwa sana na hii kitu... Kuna maiti za ndg zangu na jamaa nilizishuhudia znanipa maswali mpaka leo
Mgirik hebu tembelea ile mada yangu ya "kuongea na wafu, maarifa yaliyoshindikana ulimwenguni " kuna full package ya hii kitu! Ngoja nikaitafute nikualike
Kaka kaangalie kwenye notification ya mentions utaikuta
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.
Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.
Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.
Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?
Bado kuna mengi hatuyajui.
Unaweza kudhani ni stori za kijiweni au kufikirika lakini haya mambo yapo na uzoefu wangu wa kuhudumia wafu ulinifanya nikutane naye.
Kuna watu hufa mara mbili na mara nyingi ikiwa ni usiku, wahudumu wa mochwari wanalifahamu hili vema! Unaletewa mwili uuhifadhi kwenye jokofu lakini kwa wakati huo majokofu aidha yamejaa au kuna miili mingi inahitaji kuipanga vema kabla hujaiload kwenye jokofu.
Miili yote inayoletwa mochwari imeshathibitishwa na daktari kwa maandishi kuwa huyu ni marehemu/maiti hana uhai tena hapumui na ni mzoga lakini ukiwa kwenye harakati za kupanga hizo maiti ghafla mojawapo ya maiti inasimama wima na kutaka kupiga hatua huku macho bila kupepesa yakiwa yamemtoka pima! !! Huna jinsi unaisindikiza na teke irudi ilipokuwa na baada ya hapo hainyanyuki tena.
Mochwari kuna mengi ya ajabu ya kutisha na kustaajabisha na wahudumu wa huko wanaona mengi! Lakini kitu kisicho na majibu ni kwamba kwanini kuna maiti hua zinafufuka na kufa tena ?
Bado kuna mengi hatuyajui.
Kaka Mkuu mm kwa Upeo Wangu nadhan wengine huwa wanazimia tu kwa kukosekana kwa vifaa vya kuthibitisha kifo cha mhusika,Imagine kwa Mchezaji wa Bolton Wanderers kama sikosei Fabrice Muamba inasemekana alikuwa half dead kwa dkk kadhaa hii ingelikuwa Bongo angeshazikwa na kusahaulika
Kaka Mkuu mm kwa Upeo Wangu nadhan wengine huwa wanazimia tu kwa kukosekana kwa vifaa vya kuthibitisha kifo cha mhusika,Imagine kwa Mchezaji wa Bolton Wanderers kama sikosei Fabrice Muamba inasemekana alikuwa half dead kwa dkk kadhaa hii ingelikuwa Bongo angeshazikwa na kusahaulika
usiku huu mpwaaa....
na kama ukikutana na wale ndugu zetu ambao ukianguka asubuh mchana kwishney udongoni ndo kabisaaaaaaaaa
Kipindi kile ukimwi unaua sana. Kuna njemba iliRIP wananchi wakapanga kuzika jioni. Wakati wa ibada ya kikatoliki padre akaimwagia maiti yale maji wanasema ya baraka.... kulaaleki maiti ikapiga chafya.... Nakumbuka Padre aliyekuwa anawapa watu faraja ndio aliongoza zile mbio za marathoni... Sijawahi ona riadha ya namna ile maana hata kilema alisahau magongo akaunga msafara wa marathoni...
Maiti inatisha acheni masihara. Sijui kwanini zinamheshimu mshana jr
Hahahaha laana gani tena yailah toba?