Nije tupige story hapo kitandani? Ila sio za hesabuPolee mbona mi nimelala peke yangu silalamiki
Ngoja nikalale kweny gari mamaeee zake akicheza narud nilipotoka..Polee mbona mi nimelala peke yangu silalamiki
Nayaweza yote ngoja nije nikuondoe stress za kupigishwa story za hesabuNjoo ukiweza
Hapana sipo hivyo kabisa ila kuna muda huwa napenda kukaa kimya na simu au naangalia movie,sasa mtu anaanza kukueleza story ambazo we hata akikuambia hazikusaidii au anaanza kukuelezea formula ziko sijui mbili au tatu wakati hata mi sisomi hilo somoWatu wenye mood swings kama wewe huwa sitaki kukaa karibu nao, tatizo wala sio story gani ameanzisha, shida itakuwa wewe unabadilika badilika....dakika tano ypo fresh unapiga story baada ya mda hutaki hata salam.
Watu wenye mood ni vigumu ku associate nao.
Hebu njoo tu associate mie naweWatu wenye mood swings kama wewe huwa sitaki kukaa karibu nao, tatizo wala sio story gani ameanzisha, shida itakuwa wewe unabadilika badilika....dakika tano ypo fresh unapiga story baada ya mda hutaki hata salam.
Watu wenye mood ni vigumu ku associate nao.
Dina mamboHapana sipo hivyo kabisa ila kuna muda huwa napenda kukaa kimya na simu au naangalia movie,sasa mtu anaanza kukueleza story ambazo we hata akikuambia hazikusaidii au anaanza kukuelezea formula ziko sijui mbili au tatu wakati hata mi sisomi hilo somo
jifunze hesabu kwa afya ya kichwa chako...chukua hizo formula anza kuzifanyia kazi......Kuna watu huwa wanakera sana anakukuta umejikalia zako kimya tu mnasalimiana halaf anaanza kukupa story za huko alikotoka au tu masomo anayosoma ataanza kukuhadithia hadi formula za hesabu jamani yaan hata vitu huvijuii ,,,hivi kumsimulia mtu kitu ambacho hana idea nacho kabisa ndio nini ,,,umemuona mwenzio hayupo poa kakaa kimya tu we unajiongelesha weee yaan inabidi ubaki kuitikia eeee,aaa kumbe
Unajua kuna story zingine hua hazisisimui kabisa na ndio ukute ukute uko vibaya una mawazo yako ,
Mi kuna muda hua napenda kukaa kimya tu sitaki mtu anisimulie sijui hiki vile halaf unavyonisimulia hata havinichangamshiii aaaaarghhhhhhhhhh,
Inaboa basi tu muwe mnasoma alama na nyakati huyu mtu leo yupo kimya nimuache tu ,haya bana
I hope Ngabu wangu unamtunza vizuri eePoa valentina
Ha haa mbona mapema hivo lakini?Nimekuachia [emoji23][emoji23]