Kuna watu hukera aisee

SASA UKITAKA KUWAKOMOA, UKIWA UMEKAA WEKA BANGO MBELE YAKO LENYE MANENO " NIACHE, USINISEMESHE"
 
Ha haa si anaongea tu apa ila jeuri yake haina nguvu kiviiile
Hahahaaa my Muree...

Only Nzagamba ndo anaweza kuwa na totoz kali kama nyie na zikafahamiana bila tatizo kabisa.

Wanakuita Muree..
Peremende ya Nzagamba...
Wewe ndo wewe...
Nzagamba hana ujanja...
 
Yaani usiombe uwe off mood alafu mtu ndio katune story mode, mie huwa naitikia tu 'haya' hata kama haviendani, tafanyaje sasa na ndio sijisiii kumsikiliza.
Sasa we mwanamke ndo nini kubadili jina[emoji57]
 
Pole sana.Why don't you feel free kumexcuse tu atamaindi ndiyo lakini ndio akuharibie pozi. We mwambie tu asepe au kama vip akae kimya maana uko bize sijui kichwani au rohoni. Ila huhitaji kelele. Ubinadamu isiwe kesi mkuu..hauwezi kuwaridhisha wote.
 
Mwingine anaanxa kukuulizia watu wengine wa kitambo.. sijui nani yuko wapi...?wanaboa sana
Nachukiaga sana huo ujinga

Eti...unamkumbuka flan? hivi yuko wapi flan?

Waafrika kwa kupoteza muda kujua visivyo na umuhimu hatujambo.
 
Hahaha...sasa labda hujakutana na wale wa magroup ya whatsapp.

Utashangaa umeadiwa kwny group na unaulizwa maswali yasiyo na umuhimu na yasiyokuinterest mia kidogo.
 
Yani naomba Ngabu wangu arudi salama kama alivokuja kwako... Nisimkute na skrach yoyote pls
My Muree...wala usijali.

Dina hafugi kucha.

Hataniparua asilani.

[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…