witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Anatafuta kikiShangaa wewe.... Uyu mtoa mada sijui kala maharagwe ya wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta kikiShangaa wewe.... Uyu mtoa mada sijui kala maharagwe ya wapi
Tatizo umesoma title na kucomment kwa hisiaMkuu hatufanani ujue hilo kwanza.
Halafu kufahamika humu kunasaidia nini kwani? mii mgeni nisaidie hapo
Cc Coonor1Cc: The List
Huyu jamaa emty set iweje tue maalufu wote?
Umaarufu jf ? PtuuuuHuyu jamaa emty set iweje tue maalufu wote?
Sijawai chukia humu ila huyu dah simuelewi hem ngoja nijitazame upyaUnaleta thread za nini kama hutaki watu wachangie?
Kama vipi anzisha forum yako
Haaa haaa....usichukie bana acha boya achangamshe genge!Sijawai chukia humu ila huyu dah simuelewi hem ngoja nijitazame upya
Au nyie mnawaendega pm wakiwa maarufu labda sie tupo kwa ajili ya habali hayo mengine itokee tu kama inavyoweza tokea popoteUmaarufu jf ? Ptuuuu
Unanijibu Mimi au?Tatizo umesoma kwa kuskip au unatabia ya kusahau au pia kichwa chako ni kigumu kuelewa nilichokiandika. Naomba nikuelewesha maana yangu ni kuwa kuchangia uzi bila lugha ya kuudhi ndicho nilichomaanisha.
Labda ngoja nifunge kazi mana amenipa mawazoHaaa haaa....usichukie bana acha boya achangamshe genge!
Unanijibu Mimi au?
Kuna mahali nimekuquote au kukutag? Au unatekenyeka?
Multiple ID isikuchanganye bana! Haaa haaaaLabda ngoja nifunge kazi mana amenipa mawazo
Sijawai pata bun humu
Embu sahihisha kwa faida ya wenigne.Wengine sisi ni walimu tumezoea kusahihisha tu..
Pull up your socks. .[emoji38] [emoji38]
Gubu au nongwa?
Kabla sijakujibu naomba upitie content tena na tena alafu kama bado unaswali uniulize maana pengine hujasoma.Mkuu hatufanani ujue hilo kwanza.
Halafu kufahamika humu kunasaidia nini kwani? mii mgeni nisaidie hapo