Kuna watu humu ndani JF isingekuwa kuchangia threads za watu wasingejulikana

Vuta picha wewe ndo kidume unamchanua miguu kiuno ainue kidogo wewe sasa ukae mkao wa pushapu mikono yake ukushike kiuno ili mkatikiane unaweza chukua dakika ngapi?
Hahahahaha mkuu hapa ni chitchat ujue.. Sio kuleee [emoji118] [emoji118] [emoji118][emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]


Cc Smart911
 
Duh [emoji40] [emoji40] [emoji40]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Unatakiwa ujifunze Ku absorb pressure mkuu kwani mtu asiyekujua wala humjui akikutukana au kukukwaza anakupunguzia nn?
Hapunguz kitu ila hampi guarantee ya kutukana. Pia ukiamua kuchukua hatua stahiki anaweza kwenda jela au kulipa faini ambayo haiwezi.


Ila mwisho tumepewa uhuru tuutumie vyema na sio kufanya upuuzi kisa hausimamiwi.
 
mkuu personality ya mtu ni vi2 viwili genetic na environment ndio maana kuna individual difference
 
Hivi HUU PIA NI UZI? kwa kuleta UZI KAMA huu UNATUFUNDISHA nn wana JF kama sio MAJUNGU?
 
Kuacha kutukana watu
Huo UZI WAKO NI SAWA na wale wanaokosa COMMENT ya kuchangia na kusema NGOJA WAJE.. hivi pia ni mchango? Mimi ni mmoja wa watu ambao hawajawahi kuanzisha UZI HUMU,,, sababu sina cha KUANZISHA,,, NDY maana nipo kimya,,, sasa unapoleta HOJA kwann watu wengine hawajawahi kuleta UZI HUMU unakuwa hueleweki,,,, kumbuka binadamu tupo tofauti,,,, kuna wanaopenda KUONGEA,,, na wanaopenda KUSIKILIZA JAMBO na KULILETEA HOJA,,, hivyo wote wana mchango sawa na wengine.. Nilidhani utasema kuna member kazi zao ni KUSOMA COMMENTS tu... na wala hawa COMMENT wala kuchangia UZI....ukiangalia LIKES zake anazo 7 member since 2012 hao NDY wa ku deal nao..,,
 

Mimi nafikiri kabla ya kujibu ungejua kwanza naongelewa watu wa namna gani? Hii ingekuwa vizuri zaidi kwa maana mwanzo kabisa nimeonyesha watu wa namna gani na hata mwisho nimeongelea tena na kuweka hoja vizuri tu..
Nadhani kunashida mahali mtu kuchukua mstari mmoja na kuutolea maoni bila kujali kipi kilikuwa kinazungumziwa.
 
Hivi ukiwa unasoma hadithi huwa unaelewa kilichomo ndani au ni title na kutoa uchambuz wa dhamira zilizopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…