Kuna watu humu ndani JF isingekuwa kuchangia threads za watu wasingejulikana

Kuna watu humu ndani JF isingekuwa kuchangia threads za watu wasingejulikana

Ubinaadamu kazi!wengine ni watu tuwavumilie kama walivyojifinyanga..
 
Sipendi kuwa taja au kuwatag ili wajijue lakin na hakika wengi mnawajua wao kila uzi wamo utaona anaandika rubbish, mara nyambafu mpk unaanza jiuliza nimemkosea nn mpka anatoa maneno ya kashfa?

Wao hawajawahi leta hata thread ila ni vinara wa kuchangia za watu.

Pia najiuliza tu leo hii isingikuwa kadri unavyochangia ndivyo unavyozidi kupanda mfano toka new member mpak jf expert sijui wao ndo wangekua bado new member...

Ila kama hauna issue ya kuchangia kwenye thread ya mtu usimtukane mara mchawi au hana akili.

Ila japo kuna threads zinaboa basi fanya kutoa taarifa si kutukana.
Thanks all the nice thread... But just get prepared... Watakuja ila usijibizane na yeyote
 
Huwa naona jinsi unavyowapuuza nipe siri ya mafanikio kwenye kuwapuuza kwako
Hapa tunafahamiana kwa utambulisho bandia sasa unapoandika kitu unaandikia usiowajua hivyo reaction lazima ziwe tofauti. Kuna wengine kitawagusa positively na wengine negatively.. Na wengine ni hater naturally na wengine watataka tu kukupima compassion yako.. Sasa kwanini upoteze muda KUBISHANA na mtu usiyemjua hata sura!?
 
Hapa tunafahamiana kwa utambulisho bandia sasa unapoandika kitu unaandikia usiowajua hivyo reaction lazima ziwe tofauti. Kuna wengine kitawagusa positively na wengine negatively.. Na wengine ni hater naturally na wengine watataka tu kukupima compassion yako.. Sasa kwanini upoteze muda KUBISHANA na mtu usiyemjua hata sura!?
OK,,,,nimekusoma mkuu
 
Hivi ulipitia comment zote mpaka tupipofikia? Alafu umeona jina alilojiita?
Ahaaa kumbe mwenyewe kajiita mchawi mkuu, basi nakutaka radhi endelea kujibu comments za watu.

Japo namie hua sianzishagi hoja lakini hua ni mchangiaji mzuri tu. Labda unanisema [emoji13] [emoji12] [emoji120]
 
Ahaaa kumbe mwenyewe kajiita mchawi mkuu, basi nakutaka radhi endelea kujibu comments za watu.

Japo namie hua sianzishagi hoja lakini hua ni mchangiaji mzuri tu. Labda unanisema [emoji13] [emoji12] [emoji120]
Hapana sijasema kutochangia dhambi ila nimesema kumtukana mtu ndio dhambi
 
Haaa haaa...nimeshangaa kwa kweli

Hii dunia ina vituko
Tatizo umesoma kwa kuskip au unatabia ya kusahau au pia kichwa chako ni kigumu kuelewa nilichokiandika. Naomba nikuelewesha maana yangu ni kuwa kuchangia uzi bila lugha ya kuudhi ndicho nilichomaanisha.
 
Back
Top Bottom