Kuna watu kiu yao ya vurugu inayotokana na msukumo wa itikadi zao au hamasa binafsi inafanya nikumbuke quote hii katika movie ya The Dark Knight

Kuna watu kiu yao ya vurugu inayotokana na msukumo wa itikadi zao au hamasa binafsi inafanya nikumbuke quote hii katika movie ya The Dark Knight

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Baada ya kuwa Batman ameshindwa kumuelewa The Joker kuhusiana na njia zake za vurugu pamoja na makusudio yake maana waharifu wengi makusudio yao ni kujipatia pesa ila the joker haeleweki.

Ndio hapo, yule mzee ambaye ndio Guardian wa Batman tangu utoto akamwambia Batman maneno haya:

"Because some men aren't looking for anything logical, like money. They can't be bought, bullied, reasoned, or negotiated with. Some men just want to watch the world burn"

Yap, kuna watu ambao basi tu wanataka waone ulimwengu ukiteketea.

HAWATEKI ILI WAJIPATIE PESA
HAWAKUVAMII ILI WAKUIBIE
HAWAFANYI VITA ILI WAKOMBOE
HAWAKUPIGI ILI WAKUPOKONYE

ILA

Wanachotaka ni damu,

Damu ya wasioamini kama wao.
Damu ya waliotofauti na wao.
Damu ya walioaminishwa ndio maadui zao.
 
Baada ya kuwa Batman ameshindwa kumuelewa The Joker kuhusiana na njia zake za vurugu pamoja na makusudio yake maana waharifu wengi makusudio yao ni kujipatia pesa ila the joker haeleweki.

Ndio hapo, yule mzee ambaye ndio Guardian wa Batman tangu utoto akamwambia Batman maneno haya:

"Because some men aren't looking for anything logical, like money. They can't be bought, bullied, reasoned, or negotiated with. Some men just want to watch the world burn"

Yap, kuna watu ambao basi tu wanataka waone ulimwengu ukiteketea.

HAWATEKI ILI WAJIPATIE PESA
HAWAKUVAMII ILI WAKUIBIE
HAWAFANYI VITA ILI WAKOMBOE
HAWAKUPIGI ILI WAKUPOKONYE

ILA

Wanachotaka ni damu,

Damu ya wasioamini kama wao.
Damu ya waliotofauti na wao.
Damu ya walioaminishwa ndio maadui zao.
Balaa SANAAA
 
Damu ya wasioamini kama wao.
Damu ya waliotofauti na wao.
Damu ya walioaminishwa ndio maadui zao.
Kibaya zaidi wakishawamaliza mahasimu wao, wanageuka wao kwa wao, na kufyatuana vichwa. Hilo ndilo tatizo la kupenda damu.

Usidhani Marekani ni salama eti kwa sababu inawashikisha adabu mataifa ya nje. Akiwamaliza hao jamaa wa Ayatollah, mwishowe watageukana wao kwa wao.
 
Kibaya zaidi wakishawamaliza mahasimu wao, wanageuka wao kwa wao, na kufyatuana vichwa. Hilo ndilo tatizo la kupenda damu.

Usidhani Marekani ni salama eti kwa sababu inawashikisha adabu mataifa ya nje. Akiwamaliza hao jamaa wa Ayatollah, mwishowe watageukana wao kwa wao.
Hahhaha haswaa haswa kabisa
 
Back
Top Bottom