Kuna watu makatili kweli kweli, achoma paka moto akiwa hai

You are the most idiot in this forum! Inakuwaje una-share video ya ukatili? Ungeeleza tu bila kuweka clip isingeeleweka?
 
You are the most idiot in this forum! Inakuwaje una-share video ya ukatili? Ungeeleza tu bila kuweka clip isingeeleweka?
You must feel like a big person sitting behind on your phone and insult so cowardly
Accidents happen on roads they dont just read the news on TV without showing the accident SITE with people woonded, do they??

You are the stupid one not me. .
 
You must feel like a big person sitting behind on your phone and insult so cowardly
Accidents happen on roads they dont just read the news on TV without showing the accident SITE with people woonded, do they??

You are the stupid one not me. .
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Andika kiswahili. Nakuapia andika kiswahili hutapoteza chochote kuliko kujidhalilisha na kiingereza ugoko kama hiki.
 
Ni ukatili haswaa ucoelezeka, ni mmachame nini uyo!!!! Ndiyo maana hampewi nchi kuongoza, hatuna imani na wachagga aise, wachache tu wanajielewa.

Njooni usukumani muone wasukuma walivyo wakarimu, ijapokuwa co wote lakini kwangu mimi sukuma tribe ni moja kati ya makabira watuwake wana roho nzuli kuliko kabila lolote nchini. Huu ni mutazamo wangu.
 
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Andika kiswahili. Nakuapia andika kiswahili hutapoteza chochote kuliko kujidhalilisha na kiingereza ugoko kama hiki.
I am using my PC and I typed woonded instead of wounded, you think you know better
Hahahah am well educated and I speak fluent English
In fact my work requires me to use English all the time
Unless you didnt get my message, it is alright for me

Thanks man🙂
🙂
 
Mkuu,, ni wewe uliefanya tukio la kinyama? Mbona unafoka tena mzehe
Anatoa povu vitu vya kipuuzi
Kana kwamba tunalipwa hapa JF
Huku tuna share tu taarifa hakuna aneyelipwa
Bongo bhana
 

Of course kumuuwa paka kwa kumpiga siyo shughuli ndogo

Kuna paka alikuwa anakula sana vifaranga nyumbani bahati mbaya akajichanganya akaingia ndani,nikamfungia aisee Ile show ilikuwa siyo ya kitoto watu wote wakanikimbia nikabaki nae.
Nilipiga mpaka akadondoka

Yule hutakiwi kumpa pumzi anakurukia usoni
 

Mnavyowapiga wake zenu kama ng’ombe ndo ukarimu huo?
 
Tumepewa akili na utashi, Hivyo viumbe havijabahatika kupewa hiyo tunu ya utashi, Mangi alipaswa aumize kichwa afanyaje ajenge miundombinu imara kwenye makazi yake ili paka asivamie. Sasa ajabu Mangi akitoka hapo anaenda kanisani/msikitini kusali, Sasa sijajia anamsalia Mungu huyu huyu wa upendo au Malaika aliyemuasi.
 
Unaongea hayajakukuta. Fikiria na hali ngumu hii umekopa hela sehemu ukaamua kiingiza vifaranga vyako vya kuku wa broila ili baada ya mwezi wakupe faida na upunguze deni na ukizingatia bei ya vifaranga iko juu halafu unatoka zako mizunguko unakuta paka kama huyo kala vifaranga wako.

Usilaumu tu kwa kila unachoona vaa uhusika wa huyo mchaga. Haya Mapaka yasiofungwa yanasumbua sana.

Kwamm niliyewahi kupatwa na usumbufu wa Mapaka haya nampongeza jamaa alichokifanya
 
Kama binadamu anaiba anachomwa moto mpk anakufa. Itakuwa kwa huyo paka? Huyo paka ni kibaka mzoefu na kamchoka ndiyo maana kampiga moto.
Paka anaiba samaki, kuku n.k huyo ni mwizi na adhabu yake ni kifo. Alitakiwa ukimkamata unamfunga kwa waya kwenye mti, unamwagia mafuta, unapiga kiberiti.
Sheria ya wanyama iwekwe binadamu na mnyama wote wanahaki ya kufurahia maisha sasa kwa nini watu wakuwa na roho chafu kiasi hiki
 
Nauunga mkono hoja, kama vibaka tunawachoma moto sembuse paka jizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…