Kuna Watu mnashindwa kuelewa kuwa kwa wengine JF ni kama Familia yao

Kuna Watu mnashindwa kuelewa kuwa kwa wengine JF ni kama Familia yao

Ni kweli hapa jamvini ni nyumbani na hapa ndipo nina ujasiri wa kuongea chochote ila ukinikuta mtaani mbali na kuwa mimi ni chapombe ila nabehave kiheshima kidogo hasa upande wa kauli na kujamiana na wanakijiji.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kabisa
Hata mimi napenda sana pombe za kienyeji,nje ya mji,kuna dunia ya kipekee 🙂
 
Kabisa
Hata ukiwa na stress unapitapita humu unapata unafuu......jf inatoa sumu mwilini.
 
Kweli jf naikubali mno.
Najifunza mengi kutoka Kwa wadau.
 
Kuna Akina Lucas wanatumwa na chama chao kuleta propaganda mufilisi za chama ili kiendelre kuiba na kutawala

Bahati nzuri humu JF kumejaa watu wenye akili wanajitambua na maarifa tofauti na kule facebook

Wamegonga mwamba
 
Back
Top Bottom