Kuna watu ni ma"pro" kwenye kuendekeza ujinga! Pumbavu wale

Kuna watu ni ma"pro" kwenye kuendekeza ujinga! Pumbavu wale

sio kwamba nakashifu watu wa pwani hapana ila

watu wa pwani wengi wanaujinga mwingi sana

unakuta wazee wakizanzibar wanatukana matusi kama vijana wa miaka 20s hivi

kwakweli nimeishi tabora,mbeya,singida,dar,

sijawahi ona sehemu ina wazee wa ovyo kama zanziabar
Sijajua kwa nn pia zanzibar kiwango cha ukimwi kiko chini
 
Wakuu nina imani mnaendelea kupambana.

Nimeshangaa sana kukutana na watanzania wachovu kufikiria kama wale. Wale wazee ni watu wa pwani, wamefikishana mahakamani wanagombea mpaka. Eti wamedhulumiana futi tatu kila mmoja anasema ya kwake. Pamoja na zile futi tatu hazina uwezo wa kuhimili ujenzi hata wa banda la kuku lenye akili..

Kwenye ugomvi ule umetumika uchawi hapo kwa waganga Tanga na bagamoyo mpaka aibu. Kila mtu anataka kushinda kesi ile na kamwaga kama milion 3 hiv kwenye miti shamba. Hatimae mtu anashinda kesi anadai fidia laki 5 na hapohapo anaenda kuchawia kwa mganga eti alieshindwa kesi akose hela ya kulipa ili waendelee kupigizana makelele

kile ni kiwango cha lami cha wehu!. Ina mana watu wa pwani mambo ya msingi hawayaoni au? na ni kweli, masuala ya maendeleo hawa watu watayasikia kwenye taarifa ya habari tu. Pumbav kabisa

Mjadala uendeleee
Ndo umeona uje kuwaaina huku wajomba, nimeshakujua
 
Sijajua kwa nn pia zanzibar kiwango cha ukimwi kiko chini
mpaka leo najiuizaga ilo swali nimekuja kujua mpka mtu unapata UKIMWI inamaana unasugua kweli kweli

watu wa uku wachovu sana

nakadiria kwa asilimia 60 ya wazanzibar wengi usiku wanakula chips

huwa hawana utaratibu wa kupika usiku

halafu asubuhi unakula boflo na urojo au boflo na chai

Mchana anataka kula ubwabwa wanasema 'mie sitaki sembe hivo'

unapata wapi nguvu za ku**** hapo mkuu mpaka upate UKIMWI

ndio maana vijana wengi wa mikoani wakija uku upelekea moto watoto wao wa kizenji mpaka sio poa
 
Kubali kataa washwa ukunwe hakuna watu waungwana,wastaarabu kama watu wa pwani huo ujinga mnaowaona nao ndio huo ujanja mlionao watu wa bara wangekuwa wako kama mnavyowasema nyie wengi wenu mngekuwa nyakanyaka wenzenu waliobaki bara huko hata kuchamba wakinya hawajui ni kitu gani,miili inanuka utadhani mifugo yaani mtu wa pwani hakufunze ustaarabu mnakuja kuongea shit hapa magovi bwana mna dharau sana.
 
mpaka leo najiuizaga ilo swali nimekuja kujua mpka mtu unapata UKIMWI inamaana unasugua kweli kweli

watu wa uku wachovu sana

nakadiria kwa asilimia 60 ya wazanzibar wengi usiku wanakula chips

huwa hawana utaratibu wa kupika usiku

halafu asubuhi unakula boflo na urojo au boflo na chai

Mchana anataka kula ubwabwa wanasema 'mie sitaki sembe hivo'

unapata wapi nguvu za ku**** hap
😂
 
Kubali kataa washwa ukunwe hakuna watu waungwana,wastaarabu kama watu wa pwani huo ujinga mnaowaona nao ndio huo ujanja mlionao watu wa bara wangekuwa wako kama mnavyowasema nyie wengi wenu mngekuwa nyakanyaka wenzenu waliobaki bara huko hata kuchamba wakinya hawajui ni kitu gani,miili inanuka utadhani mifugo yaani mtu wa pwani hakufunze ustaarabu mnakuja kuongea shit hapa magovi bwana mna dharau sana.
Si kwa ubaya mzee. Mm mwemyew mtu wa pwani.. it's a wake up story tu! Uchumi na rasilimali mnazo, konekshen zipo ila watu wa pwani wenzenu wamezikalia mpaka mkawalambe miguu
 
Wakuu nina imani mnaendelea kupambana.

Nimeshangaa sana kukutana na watanzania wachovu kufikiria kama wale. Wale wazee ni watu wa pwani, wamefikishana mahakamani wanagombea mpaka. Eti wamedhulumiana futi tatu kila mmoja anasema ya kwake. Pamoja na zile futi tatu hazina uwezo wa kuhimili ujenzi hata wa banda la kuku lenye akili..

Kwenye ugomvi ule umetumika uchawi hapo kwa waganga Tanga na bagamoyo mpaka aibu. Kila mtu anataka kushinda kesi ile na kamwaga kama milion 3 hiv kwenye miti shamba. Hatimae mtu anashinda kesi anadai fidia laki 5 na hapohapo anaenda kuchawia kwa mganga eti alieshindwa kesi akose hela ya kulipa ili waendelee kupigizana makelele

kile ni kiwango cha lami cha wehu!. Ina mana watu wa pwani mambo ya msingi hawayaoni au? na ni kweli, masuala ya maendeleo hawa watu watayasikia kwenye taarifa ya habari tu. Pumbav kabisa

Mjadala uendeleee
Nazani hapa lengo ni kuwaaminisha wana jukwaa kuwa wazee wa pwani hawawezi kupata maendeleo, hivi mkuu hujawai sikia Mpare kauza ng'ombe 5 kwa7bu kaibiwa Ndama mmoja!?, je angekua Mzee wa pwani si ungemchoma singe machoni!!?
 
Nina ujirani na mpemba mmoja, huyu bwana hadi watoto wake kawapiga ban Kucheza na watoto wangu. Yani kifupi ni mbinafsi mno.
Angekuwa anawalazimisha watoto wako kuja kwake kucheza hapo ungetilia shaka. Ila sababu kakataza watoto wake mwenyewe kucheza na wako (yawezekana kuja kwako anawakataza) hayo ni maamuzi yake uyaheshimu. Unless utueleze kama wakipatwa na lolote wajibu ni juu yako au juu yake mzazi wao.

Nilipokuwa mdogo jirani yetu mwarabu alipiga marufuku watoto wake kucheza na sisi. Mwanzoni nilikuwa nasikitika, baada ya kukua nikaelewa kwanini.

Niliwahi enda kwa relative likizo ya chuo mkoa mwingine nikampa mdogo wangu hela akanunue biscuit dukani. Mama yake kumuulizia tu akawahi kumfuata dukani. Nikaambiwa wao watoto wao huwa hawawapi hela bali wananunuliwa wanachotaka (sera yao ni kutozoesha watoto hela, na kutowapa kila kitu kwa wakati hata kama uwezo upo), pili hawatoki nje ya geti wanaweza ibiwa, kutekwa au kung'atwa na nyoka maana wako nje ya mji na nyoka ni wengi mkoa ule na kuna matukio ya utekaji.

Sasa ukikurupuka ukampangia mzazi malezi wakati hajavunja sheria wala amri za Mungu unakuwa unathibitisha kwanini anakataza watoto wake wasikuzoee.
 
Nazani hapa lengo ni kuwaaminisha wana jukwaa kuwa wazee wa pwani hawawezi kupata maendeleo, hivi mkuu hujawai sikia Mpare kauza ng'ombe 5 kwa7bu kaibiwa Ndama mmoja!?, je angekua Mzee wa pwani si ungemchoma singe machoni!!?
Watu wa pwani wanauza mashamba wapate kuwaweka wali ndani wawacheze ngoma.
 
Angekuwa anawalazimisha watoto wako kuja kwake kucheza hapo ungetilia shaka. Ila sababu kakataza watoto wake mwenyewe kucheza na wako (yawezekana kuja kwako anawakataza) hayo ni maamuzi yake uyaheshimu. Unless utueleze kama wakipatwa na lolote wajibu ni juu yako au juu yake mzazi wao.

Nilipokuwa mdogo jirani yetu mwarabu alipiga marufuku watoto wake kucheza na sisi. Mwanzoni nilikuwa nasikitika, baada ya kukua nikaelewa kwanini.

Niliwahi enda kwa relative likizo ya chuo mkoa mwingine nikampa mdogo wangu hela akanunue biscuit dukani. Mama yake kumuulizia tu akawahi kumfuata dukani. Nikaambiwa wao watoto wao huwa hawawapi hela bali wananunuliwa wanachotaka (sera yao ni kutozoesha watoto hela, na kutowapa kila kitu kwa wakati hata kama uwezo upo), pili hawatoki nje ya geti wanaweza ibiwa, kutekwa au kung'atwa na nyoka maana wako nje ya mji na nyoka ni wengi mkoa ule na kuna matukio ya utekaji.

Sasa ukikurupuka ukampangia mzazi malezi wakati hajavunja sheria wala amri za Mungu unakuwa unathibitisha kwanini anakataza watoto wake wasikuzoee.
Zungumza kwa kuzingatia standard ya tamaduni ya muafrika mzee. Watoto watoke nje wacheze, wachangamane, wachangamke na afya yao ya akili iimarike
 
Back
Top Bottom