Kuna watu ni ma"pro" kwenye kuendekeza ujinga! Pumbavu wale

Kuna watu ni ma"pro" kwenye kuendekeza ujinga! Pumbavu wale

Zungumza kwa kuzingatia standard ya tamaduni ya muafrika mzee. Watoto watoke nje wacheze, wachangamane, wachangamke na afya yao ya akili iimarike
Leo wanao kwa standard zako, na jirani alee watoto wake kwa standard zake. Msiingiliane majukumu itaonekana kuna kitu unatafuta kwa lazima.

Hajavunja sheria wala hajatenda dhambi mkuu.
 
Leo wanao kwa standard zako, na jirani alee watoto wake kwa standard zake. Msiingiliane majukumu itaonekana kuna kitu unatafuta kwa lazima.

Hajavunja sheria wala hajatenda dhambi mkuu.
Sijaingilia uhuru wa mtu mzee, although we do appreciate you for the concern.

Mana hatuko hapa kujadili ili kumbadilisha kila mtu afanan3 na mitazamo yetu
 
Wale wanaokataza watoto wao kucheza baadhi ya watoto flani mi mwenyewe nawakataza kuna baadhi ya watoto wanawashawishi watoto wenzao kucheza michezo ya kikubwa wengine mabingwa wa kulawiti wenzao hivi midoli kama hii utaacha kuwakataza wanao wasicheze nao?.
 
Huku geita na mikoa jirani mpaka ukizidi hata cm20 tu ni vita kubwa mno watarogana wakishindwanwa mapanga yanahusika!!

Huku kupelekana mahakamani Huwa mara chache sana. Mgogoro wa ardhi huku ni mbaya mno na hatuishi kizazi na kizazi na uhasama juu
 
Kwakweli,.
Maana mambo mengine yanashangaza sana
Kuna bosi wangu mmoja hivi Yao tribe. Ana nongwa kweli kweli... akipata tenda na hela ya kianzio cha tenda hiyo anaona wafanyakazi kinyaa kweli masimango ofisin yanaongezeka. Kazi za kufatilia mfanyakaz wake, anamnyima anampa bodaboda.

Hela ikianza kuisha utamkuta jicho lishakuwa nyanya anachoongea hakieleweki. Yani noma noma tu
 
Back
Top Bottom