Kuna Watu ni wabinafsi, ila Mchepuko wangu kazidi. Nimemnyoosha

Zaman nikikua najibizana nae,
Ila akirudisha ya kwake Unaweza tamani umfate alipo umfyatue tu risasi afe.
Hahaha noma aseee
izo short reply unazompa zitakua zinamuudhi kinyama
 
Hahahahahahaha Na Utaendelea Kuwa Nazo maana Unahisi Yeye ndio ana Matatizo kumbe Wewe ndio Una Matatizo kichwani.
Mwanamke anatunzwa sio anatunza ukiona mwanaume anashangilia shida zako nanakuwekea kipimo mkimbie ni stress atakuaibisha .
Vibaya sana atakuharibia sana
 
Mwanamke anatunzwa sio anatunza ukiona mwanaume anashangilia shida zako nanakuwekea kipimo mkimbie ni stress atakuaibisha .
Vibaya sana atakuharibia sana
Hebu ifafanue kdg Hii[emoji848]
 
Humpendi mke wako... ungempenda huyo mama j usingekua nae...

Unampenda zaidi mama j...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu DeepPond
Huyo mwanamke hakufai, kwa sababu ameshakudharau, anajua kwake hupindui na anafahamu wewe ni mwanaume dhaifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…