Ha ha ha......[emoji29][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]balaa anajua hupindui kwake brooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sijamtafuta,
Yeye ndo Katoka kunitafta MDA huu
Nahs anatafta gia ya kurudisha mawasiliano, tangu juzi tulivoznguana sijaenda kwake[emoji116]View attachment 2354608
Hahaha noma aseeeZaman nikikua najibizana nae,
Ila akirudisha ya kwake Unaweza tamani umfate alipo umfyatue tu risasi afe.
Uongo unampenda mama jSeriously,
nampenda sna wife Wangu.
mamaJ nampenda ngono TU, nothing else
Mwanamke anatunzwa sio anatunza ukiona mwanaume anashangilia shida zako nanakuwekea kipimo mkimbie ni stress atakuaibisha .Hahahahahahaha Na Utaendelea Kuwa Nazo maana Unahisi Yeye ndio ana Matatizo kumbe Wewe ndio Una Matatizo kichwani.
Humpendi mke wako... ungempenda huyo mama j usingekua nae...Mkuu,
Kwa kuchepuka huku nmepata kujua kumbe mungu kanitunuku mke Bora kabisa. Ujue Unaweza kuishi na MKE ila ukawa unamchukulia poa poa sana,
Ila ukitoka nje ukakutana na Wanawake vichomi type za kina mamaJ, unagundua kumbe Kuna wanaume wengine wanapitia maisha flan magumu sna kwa kua na wake type hizo.
Kwa hili la mamaJ,
Najifunza mengi Sana,
Na sarakasi hizi zinazidi kunifanya nimpende zaidi MKE wangu
Anajiona yupo sawa kumbe mtu alishaendewa kwa babu kitambo [emoji3][emoji3]Nyumbani kwangu sio kwa mchepuko...!! Wewe ushamzoesha vibaya na hizo Laki 2 utazilipaa tu maana Huwezi kumuacha huyo mwanamke kashakulogaa yaniii...
Hii true storyHadith za shigongo
Umeenda?Update.....
MamaJ kanipigia MDA huu akiniomba niende kwake, anadai Kuna dharula
Extrovert Beesmom Nakadori BILGERT Tafuta Hela Kelsea mzabzab cocastic Chupayamaji wa kupuliza witness jr mawardat atug MACHO YA PAKA goroko77 makaveli10 Mondela EINSTEIN112 Mad Max Glenn
[emoji116]
View attachment 2354585
Au kumpa mimba[emoji23]Amini nnachokwambia,
Ningekua nampenda mamaJ ningeshamuoa au kumfukuza wife wangu
UsiendeSijaenda,
Nmerudi mapema Sana leo nyumbani[emoji4]