Kuna watu umasikini hauwezi kuwaisha hapa duniani

Kuna watu umasikini hauwezi kuwaisha hapa duniani

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Unakuta mdada kakutana na jamaa kamuajiri kwa kumfanyia kazi zake za nyumbani, kala! kaoga! kapendeza! Bosi wake kamruhusu akamfuate mtoto wake aliyemuacha kijijini amlete akakae naye kwa bosi wake!

Sasa kuna mzee mmoja yuko vizuri sijajua background yake ikoje! Sasa leo niko pale nikasikia majibizano kati ya huyo jamaa na huyo mdada! Mdada kajibu "siwezi kutoka na mtu kama wewe "

Duuuuh! Jamaa kawa mpole! Mimi mwenyewe sijapenda hayo majibu nikizingatia kipindi huyo binti anakuja alikuwa choka mbaya!

Angekuwa hata na maneno ya staha ya kumpotezea mzee wa watu!
 
Huyo jamaa kaendelea kukaa kwa upole na kupiga vyombo na mdada ndo anauza duka lenye grocery na mimi bado nipo napiga vyombo!
 
Mda mwingine ukiona watu wanawachezea wanawake na kuwaacha ni mambo kama hayo
Hapo umeongea! Inaonekana katika ujana wake huyu mdada alikuwa na maneno ya shombo ndo maana mshua wake kampiga mimba na kumtelekeza! Pamoja na kupigwa tukio bado ana maneno ya shombo? Huyu mbaba yuko vizuri hapa kitaa! Sasa huyu mdada tiamajitiamaji hata busara ya kujua nini la kujibu hana? Wanawake na mabinti hamjielewai!!!
 
Unakuta mdada kakutana na jamaa kamuajiri kwa kumfanyia kazi zake za nyumbani, kala! kaoga! kapendeza! Bosi wake kamruhusu akamfuate mtoto wake aliyemuacha kijijini amlete akakae naye kwa bosi wake!

Sasa kuna mzee mmoja yuko vizuri sijajua background yake ikoje! Sasa leo niko pale nikasikia majibizano kati ya huyo jamaa na huyo mdada! Mdada kajibu "siwezi kutoka na mtu kama wewe "

Duuuuh! Jamaa kawa mpole! Mimi mwenyewe sijapenda hayo majibu nikizingatia kipindi huyo binti anakuja alikuwa choka mbaya!

Angekuwa hata na maneno ya staha ya kumpotezea mzee wa watu!
Sema we jamaa ni mbea mbea wa viwango vya FIFA. Yaani ulivyosikia ukaona lisikupite. Kwahiyo ulivyopata “ubuyu” ukaenda home ukachaji simu, ukala, kisha ukakaa kitako kuleta jambo jepesi kabisa hapa jukwaani. Watu hujui background yao na bado uka-conclude kuwa dada kusema hivyo ni kosa. Kama kakerwa asitokwe nyongo?

Chalii yangu, hebu kacheze drafti na wababa wenzako.
 
Unakuta mdada kakutana na jamaa kamuajiri kwa kumfanyia kazi zake za nyumbani, kala! kaoga! kapendeza! Bosi wake kamruhusu akamfuate mtoto wake aliyemuacha kijijini amlete akakae naye kwa bosi wake!

Sasa kuna mzee mmoja yuko vizuri sijajua background yake ikoje! Sasa leo niko pale nikasikia majibizano kati ya huyo jamaa na huyo mdada! Mdada kajibu "siwezi kutoka na mtu kama wewe "

Duuuuh! Jamaa kawa mpole! Mimi mwenyewe sijapenda hayo majibu nikizingatia kipindi huyo binti anakuja alikuwa choka mbaya!

Angekuwa hata na maneno ya staha ya kumpotezea mzee wa watu!
🤣🤣🤣 uyo mzee alikuwa wap acha apewe makavu
 
Unapofanya ngono anayefaidika na hiyo ngono ni mwanamke.

So dhana ya kumchezea mwanamke ilibidi kuwa kinyume chake

The more Una release sperm the more Una reduce Energy yako Physically and mentally.
We umezungumzia kibaolojia na kiroho zaidi, Kuna wanaume wameathirika kisaikolojia wakati wanajitafuta walitamkiwa maneno mabovu na wapenzi wao, waliachwa vibaya, walikataliwa na mengine ya namna hiyo ikifika wakati mambo yapo sawa anachowaza yeye ni kumlala mwanamke na kumuacha hata kama huyo mdada atataka waweke malengo ya pamoja.
 
Hapa Niko natafuta connection ya umaskini na Hilo jibu
Anyway katika kuwinda kupata uchi huwa tunapitia mengi sana ni kuvumilia TU maana nae hawezi kumpa Kila anaeomba
 
We umezungumzia kibaolojia na kiroho zaidi, Kuna wanaume wameathirika kisaikolojia wakati wanajitafuta walitamkiwa maneno mabovu na wapenzi wao, waliachwa vibaya, walikataliwa na mengine ya namna hiyo ikifika wakati mambo yapo sawa anachowaza yeye ni kumlala mwanamke na kumuacha hata kama huyo mdada atataka waweke malengo ya pamoja.


Kumlala mwanamke anayepata faida ni mwanamke.

Kama hautotoa sperm zako utakuwa sahihi na sio kinyume chake.
 
Sema we jamaa ni mbea mbea wa viwango vya FIFA. Yaani ulivyosikia ukaona lisikupite. Kwahiyo ulivyopata “ubuyu” ukaenda home ukachaji simu, ukala, kisha ukakaa kitako kuleta jambo jepesi kabisa hapa jukwaani. Watu hujui background yao na bado uka-conclude kuwa dada kusema hivyo ni kosa. Kama kakerwa asitokwe nyongo?

Chalii yangu, hebu kacheze drafti na wababa wenzako.
Kwa taarifa yako
Hapa Niko natafuta connection ya umaskini na Hilo jibu
Anyway katika kuwinda kupata uchi huwa tunapitia mengi sana ni kuvumilia TU maana nae hawezi kumpa Kila anaeomba
Kweli kabisa katika mchakato wa kupata uchi tunapitia maudhi, kejeli, matusi nk, lakini tunavumilia! Wewe umeongea kama baharia mwenye uzoefu! Nimekukubali!
 
Wanawake wengine wana dignity sio wote wa hewala
Halafu huyo mzee hana heshima kwani alimleta ili alale nae?
Ni dhambi kubwa sana kumsaidia mtu na baadae ukaomba mzigo kisa umemsaidia
Hata kama katakata si amebadilika kutokana na maisha anayoishi au mlitaka avae kanga zilizochanika?

Watu wengine wana laana kwa kweli
Unaanzaje kuomba kwa mtoto uliemlea kwa kazi zako mwenyewe za nyumbani?
Ndio maana mnawekewa sumu mufweeee
 
Back
Top Bottom