uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Tumepigwa Chaga sana na maisha yanaendeleaKwa taarifa yako
Kweli kabisa katika mchakato wa kupata uchi tunapitia maudhi, kejeli, matusi nk, lakini tunavumilia! Wewe umeongea kama baharia mwenye uzoefu! Nimekukubali!
Manzi akizingua naenda gym nikitoka naangalia game ya Madrid maisha yanaendelea