Kuna watu umasikini hauwezi kuwaisha hapa duniani

Kwa taarifa yako

Kweli kabisa katika mchakato wa kupata uchi tunapitia maudhi, kejeli, matusi nk, lakini tunavumilia! Wewe umeongea kama baharia mwenye uzoefu! Nimekukubali!
Tumepigwa Chaga sana na maisha yanaendelea
Manzi akizingua naenda gym nikitoka naangalia game ya Madrid maisha yanaendelea
 
Soma uzi tena uelewe! Ajaombwa uchi na bosi wake! Ni mzee mwingine katika huo mtaa! Huyu Mzee inaonekana walishakuwa na maongezi ya hawali!
 
Kuna siku mmoja, Nilisikia Jibu la mwanamke akimjibu mshikaji, kua hauna "Hadhi ya Kua na Mimi"
Daaa unajua kiasi Fulani niliuzunika kama nimejibiwa Mimi, ila kuanzia siku hiyo nilijifunza kitu ktk Maisha usimshobokee mtu Kua busy na mambo yako, ususani kushobokea mwanamke/ Mtu anaejiona ni bora kuliko wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…