jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Unaweza Kupata Mwanamke Mwingine
Lakini Hauwezi Kupata Afya Nyingine.
Tuwe Makini[emoji1549]
Kunafaida gani ya kufa ukiwa na afya njema,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza Kupata Mwanamke Mwingine
Lakini Hauwezi Kupata Afya Nyingine.
Tuwe Makini[emoji1549]
Nafikiri wengi wao ni wa kishua hasa, na wanatoka familia za viongozi na watu wazito wazito nchi hii. Huu ndiyo ukweli.Mapepo ni watu pia ila wale ni watu tu kama mm sema born town
[emoji23] haya bhanaMacho Yao ni gold yanawaka kama ya paka, majamaa wapo na mademu classic sana wamejaza backet za Heineken na mabarafu ya kutosha wanapiga vyombo tu dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila tuseme ukweli wale watu bata wanazijua manina huwez mwambia aende katavi akalime mahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wapi Cute Wife leo nipo maeno karibu basi hata kachai ka jioni 😊Macho wameweka lens kuna za paka, nyoka [emoji1787][emoji1787]
Kabisa... halafu ukiangalia wewe una ka laki 3 kako mfukoni ka mshahara wa mwalimu wa sekondari[emoji23][emoji23][emoji23] lazima ukimbie tu!Sidhani nahisi wanakwendaga na watu wao wamewekewa odder kabisa hawajiendei tu kama hii mikahaba yetu ya tandika. Wale hata uwe na pesa lakini wanaweza kukukataa vilevile maana huna mwonekano wa kutoka nao. Zile pisi sio za ahsee wanafyonza sana pesa
Umeogopa nini sasa? Mbona haitishi?Aiseh HADI nimeogopa Man!
Ha ha ha kufwa for me... nye nye nye.. hahahaha you know"Haziendani na mfumo" HOW?
mashaka kama yepi?
Never mind too many qns bro... Its called free education, you know hahaha nafwazzz
Acha uoga na uongoUnauhakika?,sehemu za ivyo mapepo yapo sanaaa tu au sehemu zenye mkusanyiko mkubwa wa watu.Usidhan wote unao waona ni binadamu wenzio,na usiombe ukawajua kama unaroho nyepes hutaka kwa rahaaa dunia ina mengi hasa usiku.
Sawa.Acha uoga na uongo
Nakubusuuuuu! Mwaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza ukawa nao hapo na usiwajue,je una macho ya ziada au ni kipofu kiroho?
mambo si ndio hayaa na haka ka baridi safiii 😊😊[emoji39][emoji39] nakuja chap usiondoke niwekee order ya onion rings with ox liver na shots moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa... halafu ukiangalia wewe una ka laki 3 kako mfukoni ka mshahara wa mwalimu wa sekondari[emoji23][emoji23][emoji23] lazima ukimbie tu!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe una pesa za mawazo kama walimu [emoji16][emoji16]