National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Pamoja man.Usijali tupo pamoja, subiri nivune mpunga wangu shinyanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja man.Usijali tupo pamoja, subiri nivune mpunga wangu shinyanga
Pesa,nguo,nyumba,magari nk. Vyote huharibika na vitapitaPesa ni nzuri mkuu ,pesa inafanya both ends meets ,na pia inakuwezesha kutatua changamoto za hapa na pale za maisha yetu haswa ya basic needs .lakini ni kwamba Kuna muda pesa ukishakuwa nayo still Kuna kitu bado kina mes. Laiti pesa ingekuwa inatupa furaha ya kudumu, laiti pesa ingewaamsha wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kununua unconditional love. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kumhonga Mungu [emoji28] tujiongezee kuishi ... anyway tuzitafute kwa bidii ila zisitufanye tusahau kuishi.
Pesa,nguo,nyumba,magari nk. Vyote huharibika na vitapita
Unconditional Love huishi milele
Ajira kubwa zaidi duniani kuliko ajira zote, ni the oldest professional!, wenye bahati zao, wao wameajiriwa, kupata mnunuzi aliyenunua jumla, na kufanya full time job, wasio na bahati, wanauza reja reja, kwa wateja tofauti tofauti. Kazi hiyo hufanywa wakati wa usiku for both full time na part time!. Ndio maana usiku unawaona lakini mchana huwaoni kwasababu ndio wakati wao wa kazi, wanapeleka bidhaa sokoni.Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.
Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.
Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani
Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Macho Yao ni gold yanawaka kama ya paka, majamaa wapo na mademu classic sana wamejaza backet za Heineken na mabarafu ya kutosha wanapiga vyombo tu dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila tuseme ukweli wale watu bata wanazijua manina huwez mwambia aende katavi akalime mahindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani nahisi wanakwendaga na watu wao wamewekewa odder kabisa hawajiendei tu kama hii mikahaba yetu ya tandika. Wale hata uwe na pesa lakini wanaweza kukukataa vilevile maana huna mwonekano wa kutoka nao. Zile pisi sio za ahsee wanafyonza sana pesa
Bidhaa gani inayopelekwa sokoni kwenye night club kama Element Masaki? Pascal MayallaAjira kubwa zaidi duniani kuliko ajira zote, ni the oldest professional!, wenye bahati zao, wao wameajiriwa, kupata mnunuzi aliyenunua jumla, na kufanya full time job, wasio na bahati, wanauza reja reja, kwa wateja tofauti tofauti. Kazi hiyo hufanywa wakati wa usiku for both full time na part time!. Ndio maana usiku unawaona lakini mchana huwaoni kwasababu ndio wakati wao wa kazi, wanapeleka bidhaa sokoni.
P.
Laki tano?? [emoji15][emoji15][emoji15], kanipeleke nikachukue watano mkuu. Wewe ulidandia vishoka wa kutoka manzese sio wale wadada niliowaona Jana maana hilo dau dogo sana hata vinywaji tu haimtoshi per night
Umelewa au unakili timamu? au umejaa upumbavu tu, are you all over places and homes in town, do you see everybody driving and those fully tinted, tumia akili majini pia ni viumbeNaww unaimani hizo mkuu, nikajua mjanja wa town kumbe lofer tu. Ipo siku namm nikijireform niwe kama hao mtasema mm ni jini pia iam sure
Heineken elfu kumi
Hhhahaha mkuu nimekupata sana ila wapo kazini kiaje Kati niliona wanaspend pesa hawaingizi, yani wanaagiza vinywaji ghari na pesa wanatoa wao Mda ukiisha wanapanda kwenye magari Yao ya kifahar nakupoteA kusikojulikanaAjira kubwa zaidi duniani kuliko ajira zote, ni the oldest professional!, wenye bahati zao, wao wameajiriwa, kupata mnunuzi aliyenunua jumla, na kufanya full time job, wasio na bahati, wanauza reja reja, kwa wateja tofauti tofauti. Kazi hiyo hufanywa wakati wa usiku for both full time na part time!. Ndio maana usiku unawaona lakini mchana huwaoni kwasababu ndio wakati wao wa kazi, wanapeleka bidhaa sokoni.
P.
Mkuu wale watu kila sehem ya mwili ni filtered [emoji23][emoji23][emoji23]Macho wameweka lens kuna za paka, nyoka [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] moja au bucket?
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Usiku wapo kwenye maclub kutumia pesa Sasa kazi gn wamefanya apo unaposema wapo kaznLazima utambue kuwa night shifters wanalala wakati wewe unaenda kazi zako kukipambambazuka, na wao wanaanza kazi giza likianza kuingia
Huwezi kuwaona mchana maana wanapoza machungu halafu usiku wanaingia shift tena unless wawe wagonjwa au appointments za hospital kutibu majeraha na ajali za kazini
Kweli kua uyaone
Mkuu Kwa huu mshahara wetu wa walimu stoboi hapo kila kheri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Aya bhanaUmelewa au unakili timamu? au umejaa upumbavu tu, are you all over places and homes in town, do you see everybody driving and those fully tinted, tumia akili majini pia ni viumbe
Hhhahaha ndiooo hawapo ahsee yani utatafuta mitandaoni huwaoni dah [emoji1787]Wale mademu wa kule masaki hata picha zao hazipo mitandaoni labda yule AMBER ROSE og aliyedate na KANYE WEST sometimes ndo anafit description zao, toto haswaaa.