Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Ni binadamu mkuu sema ndio maisha waliyoyachagua
Hata mm nimesema, pesa inaamua mengi sana kiongozi maana laiti hawa watu wangekuwa wanavipato kama vya mwalimu hawawez kutengeneza miili kama Ile kwanza wanatumia gharama kubwa sana kumaintain appearance kwanzia ngozi mpaka mavazi, chakula na starehe maana hawa watu sidhani kama wanajua ugali dagaa, wao ni lambchops na bites za maana, bugger, pizza na matokolingo yote ya kizungu
 
Unajua mkuu

Ngono ni tendo la kimwili na kiroho,mtu ambae ni stable hawezi kuwa stimulated nabkila pis ambayo inaonekana ni kali machoni pa wengi!

Yaani lazima kuwe na connection ya kiroho kati YAKO na yenyewe ILI kufanikisha stage ya mating ndio maana hata madume ya wanyama yana nusa ke za madem zao na kuvuta hisia ILI kwenda stage nyingine ya mating!!

SASA unaweza kuta manzi ni mkali KWA kumcheki lakini asikustimulate kwenda nae labda uwe internally wewe hauko stable kihisia yaani roho chafu ya ngono uzembe imekujaa utafanya na KILA manzi as long as nothing mzuri!!

Lazima apate internal acceptance ya nafsi yako ILI uende nae!!!

Kuna kitu nakieleza hapa sijui kama utanielewa!!
Nakuelewa vya kutosha mr. President!

Unasema nini kuhusu mtu anaona pisi na kufanya kila maneuvre ili aikule bila ivyo apati utulivu

Like for example nimeenda club wanapojiuza nimekula ila sirudiiagi kukula tena, naenda kwa anayefuata ila wachache sana ndio sikinaigi naweza kuwanunua tena na tena bila kuchoka. (Case ya harmo na kajala🤭)

Kuna wale wanajitokeza wapya unakuwa short funded unawalia target next time... Next time usiwakute unawatarget again next time na kuwa unawawaza sana you put on a hunt/target on them mpaka unawakula hiyo imekaaje...
 
Hata mm nimesema, pesa inaamua mengi sana kiongozi maana laiti hawa watu wangekuwa wanavipato kama vya mwalimu hawawez kutengeneza miili kama Ile kwanza wanatumia gharama kubwa sana kumaintain appearance kwanzia ngozi mpaka mavazi, chakula na starehe maana hawa watu sidhani kama wanajua ugali dagaa, wao ni lambchops na bites za maana, bugger, pizza na matokolingo yote ya kizungu
Hao ugali kwao ni ndoto mkuu
 
Acha ukichaa wewe tafuta hela, masikini mnadanganyagwa sana
Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Kwakuwa mawazo yao na macho yao yamezibwa na tamaa ya pesa wanazozitafuta.
Na wanadhani wakizipata watapata furaha na amani. Lakini kumbe wanakimbiza upepo.
Mwenye sikio na asikie.
 
Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Kwakuwa mawazo yao na macho yao yamezibwa na tamaa ya pesa wanazozitafuta.
Na wanadhani wakizipata watapata furaha na amani. Lakini kumbe wanakimbiza upepo.
Mwenye sikio na asikie.
Mda huu ungekua kanisani ningekuona wamaana sana
 
Mkuu Kwa huu mshahara wetu wa walimu stoboi hapo kila kheri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Walimu nendeni kwenye viduka vya mangi huwa wanaoza bia ila bora ununue konyagi ulewe haraka usitumie gharama kubwa mwalimu
 
Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.

Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.

Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani

Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Siku ingine nishtue na mie nikaone mkuu
 
Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme, kama ilivyo ngamia kupita kwenye tundu la sindano.
Kwakuwa mawazo yao na macho yao yamezibwa na tamaa ya pesa wanazozitafuta.
Na wanadhani wakizipata watapata furaha na amani. Lakini kumbe wanakimbiza upepo.
Mwenye sikio na asikie.
Pesa ni nzuri mkuu ,pesa inafanya both ends meets ,na pia inakuwezesha kutatua changamoto za hapa na pale za maisha yetu haswa ya basic needs .lakini ni kwamba Kuna muda pesa ukishakuwa nayo still Kuna kitu bado kina mes. Laiti pesa ingekuwa inatupa furaha ya kudumu, laiti pesa ingewaamsha wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kununua unconditional love. Laiti pesa ingekuwa na uwezo wa kumhonga Mungu [emoji28] tujiongezee kuishi ... anyway tuzitafute kwa bidii ila zisitufanye tusahau kuishi.
 
Back
Top Bottom