Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Hayo yanawezekana ila sio wote, mapepo yatoa pesa mfukoni tena wanachanja Kwa visa card?? Ili walipie vinywaji
Yaani we bado sana we kwenye hizo pande!

Umewahi kuona pesa umeweka mezani kwako ghafula zinapotea tu!!?au unafikiri benki zetu zinalindwa na askari pekee!!?

Kuna VIUMBE visivyoonekana vinatimia pesa kama wewe utumiavyo mkuu!!
 
Hizo pis kali zinachukulika!!?next time ka test mitambo mkuu kama sio za vibwengo!!
Moja ilinisikiliza ila sikufika dau, dau lake ni non negotiable zile za masaki mbona zilikuwa zinachukuliwa sana tu ila nilihisi zipo pale on a mission either to attract more customer to attend their spot ( shark hunter) au zinatarget vibopa wanaoanzia dau la 500k up
 
Vibwengo vinapepesa macho haviwezi kutazama direct yaani kama vinakwepesha ile direct contact!


ukichukua pis unaenda kula tu man sema uwe jasiri halafu ulimwengu wako wa kiroho uwe mfu kuto detect chochote lakini kama sisi ambao hata manzi za kawaida tu HUWA tunazishtukia kuwa haziendani na mfumo wa kiroho chetu ni ngumu kupeleka moto KWA kiumbe ambacho roho nafsi yako ina mashaka nacho kua I nahitilafu MAHALI!!!
Ukienda nae unakuwa hujiamn kama utakuwa salama unahisi hupo kwenye Dunia ya kawaida, baada ya hapo utatoa ushuhuda [emoji23]
 
Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.

Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.

Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani

Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
kama ulishawahi kusikia kuna viumbe wa ajabu wanaitwa alien ndo hao mkuu
 
Moja ilinisikiliza ila sikufika dau, dau lake ni non negotiable zile za masaki mbona zilikuwa zinachukuliwa sana tu ila nilihisi zipo pale on a mission either to attract more customer to attend their spot ( shark hunter) au zinatarget vibopa wanaoanzia dau la 500k up
Laki tano?? [emoji15][emoji15][emoji15], kanipeleke nikachukue watano mkuu. Wewe ulidandia vishoka wa kutoka manzese sio wale wadada niliowaona Jana maana hilo dau dogo sana hata vinywaji tu haimtoshi per night
 
Vibwengo vinapepesa macho haviwezi kutazama direct yaani kama vinakwepesha ile direct contact!


ukichukua pis unaenda kula tu man sema uwe jasiri halafu ulimwengu wako wa kiroho uwe mfu kuto detect chochote lakini kama sisi ambao hata manzi za kawaida tu HUWA tunazishtukia kuwa haziendani na mfumo wa kiroho chetu ni ngumu kupeleka moto KWA kiumbe ambacho roho nafsi yako ina mashaka nacho kua I nahitilafu MAHALI!!!
"Haziendani na mfumo" HOW?

mashaka kama yepi?
Never mind too many qns bro... Its called free education, you know hahaha nafwazzz
 
Jamaa either sio frequent pale na hana strategy ya kuwa approach ndo maana anabisha anafikiri kuna mtu atalipa io kimasiara tu masaki apo labda kule las vegas
Mkuu ni rahisi Sana kutembea na Irene uwoya, wema, zuchu, Paula na celebrities yoyote hapa bongo unaemtaka ila sio wale. Believe me nilifanya uchunguzi Kwa kina sana na watu wa pale wakasema hata wao hawawajui na Hawana mazoea yoyote Yale nahawasubutu kwenda kuongea nao. Uyu jamaa anasema laki tano aliwafata wale mamluki sunajua kwenye mamba na kenge wapo pia, Kuna mabinti wazuri tu wanaotoka mbagala wanaenda saloon za uswazi kupiga makeup wanaenda club za Masaki na posta kutest zali
 
Back
Top Bottom