Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.

Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.

Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani

Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Falaaaaaaaaaaa Ticha
 
Bidhaa gani inayopelekwa sokoni kwenye night club kama Element Masaki? Pascal Mayalla
Aha...!, Mkuu lubajaro , sio lazima kusema kila kitu!, unapotoa posa na kulipa magari, unalipia kununua bidhaa gani?. Ukioa bodhaa hiyo unakuwa umeinunua bei ya jumla, wengine wengi, hawajapata bahati ya kupata mteja wa kuinunua jumla, hivyo wanalazimika kupeleka bidhaa yao sokoni na kuuza reja reja kwa wateja tofauti tofauti.
Niliwahi kutoa ushauri huu kuhusu biashara hii Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!
P
 
Siku hizi kuna platforms nyingi online za kukuingizia hela, kwahiyo unaweza kaa mwaka mzima upo ndani tu as long as kuna mtu/mfanyakazi wa kumtuma hapa na pale. Hata nchi nyingi zilizoendelea wana discourage mambo ya kuripoti ofisini physical.
 
Aha...!, Mkuu lubajaro , sio lazima kusema kila kitu!, unapotoa posa na kulipa magari, unalipia kununua bidhaa gani?. Ukioa bodhaa hiyo unakuwa umeinunua bei ya jumla, wengine wengi, hawajapata bahati ya kupata mteja wa kuinunua jumla, hivyo wanalazimika kupeleka bidhaa yao sokoni na kuuza reja reja kwa wateja tofauti tofauti.
Niliwahi kutoa ushauri huu kuhusu biashara hii Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!
P
Wa legalize marijuana itakua bomba🌿
 
Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.

Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.

Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani

Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Kumbe una pesa za mawazo kama walimu 😁😁
 
Back
Top Bottom