AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
Fafanua apo "filtered" a.k.a kuchuujwaMkuu wale watu kila sehem ya mwili ni filtered [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua apo "filtered" a.k.a kuchuujwaMkuu wale watu kila sehem ya mwili ni filtered [emoji23][emoji23][emoji23]
KumbeUsiku wapo kwenye maclub kutumia pesa Sasa kazi gn wamefanya apo unaposema wapo kazn
Bidhaa inapanda bei kulingana na location. Heineken ya Serena hotel ni ghali kuliko ya elements, ya regency kilimanjaro ni gharama zaidi, ni mazingira tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Moja
Yeah kila sehemu wamezichuja hakuna kitu originalFafanua apo "filtered" a.k.a kuchuujwa
Mkuu wale watu kila sehem ya mwili ni filtered [emoji23][emoji23][emoji23]
Bidhaa inapanda bei kulingana na location. Heineken ya Serena hotel ni ghali kuliko ya elements, ya regency kilimanjaro ni gharama zaidi, ni mazingira tuu
Mm sio mwalimu, namba huwez kupewa hata kuwasogelea tu jau[emoji23][emoji23][emoji23] Teacher sasa ukienda tena make sure unaomba namba ili tujue km watu kweli sio vibwengo
Hebu tupe kidogo trailer ili nikiangalia njue nafocus na nini
Ukipata wasaha kuitazama hii ngoma utajifunza kwenye ma night club ya usiku Kuna mengi sana
Elfu kumiKweli kabisa hapo ungeagiza safari ya 2000 km uliyouziwa kwa mkwere lakin hapo ungeambiwa 5000
Elfu kumi
Mm sio mwalimu, namba huwez kupewa hata kuwasogelea tu jau
Falaaaaaaaaaaa TichaJana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.
Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.
Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani
Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu
Hiyo nimeicopy kimakosa YouTube , nilikuwa namaanisha ngoma inaitwa dance macabre tayari nimeweka link yake hapa ichekiHebu tupe kidogo trailer ili nikiangalia njue nafocus na nini
Aha...!, Mkuu lubajaro , sio lazima kusema kila kitu!, unapotoa posa na kulipa magari, unalipia kununua bidhaa gani?. Ukioa bodhaa hiyo unakuwa umeinunua bei ya jumla, wengine wengi, hawajapata bahati ya kupata mteja wa kuinunua jumla, hivyo wanalazimika kupeleka bidhaa yao sokoni na kuuza reja reja kwa wateja tofauti tofauti.Bidhaa gani inayopelekwa sokoni kwenye night club kama Element Masaki? Pascal Mayalla
Hahhaaha! Usikute ni vibwengo![emoji23][emoji23][emoji23] Teacher sasa ukienda tena make sure unaomba namba ili tujue km watu kweli sio vibwengo
Wa legalize marijuana itakua bomba🌿Aha...!, Mkuu lubajaro , sio lazima kusema kila kitu!, unapotoa posa na kulipa magari, unalipia kununua bidhaa gani?. Ukioa bodhaa hiyo unakuwa umeinunua bei ya jumla, wengine wengi, hawajapata bahati ya kupata mteja wa kuinunua jumla, hivyo wanalazimika kupeleka bidhaa yao sokoni na kuuza reja reja kwa wateja tofauti tofauti.
Niliwahi kutoa ushauri huu kuhusu biashara hii Opinion: Its High Time, Tanzania Tuhalalishe "The Oldest Profession?!", na Ikiwezekana, to Legalize Marijuana!
P
Kumbe una pesa za mawazo kama walimu 😁😁Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne nikasepa zangu ELEMENTS NIGHT CLUB kupiga vyombo baridi na laini.
Ipo hivi nilishuhudia kuona watu wa tofauti sana hata kimuonekano, mwili mweupeeee halafu matatooo kama yote, hawa binti zetu kuna wengine wamechora tattoo za sex mgongo mzima mpaka kwenye mashavu ni tattoo za ngono, nilicheka sana ila nilichojifunza usiku ni mkubwa kuliko mchana.
Jamii ya hawa watu mchana huwaoni kokote kule iwe mitaani iwe nyumbani ila usiku ukienda kwenye maclub makubwa na macasino kama princess ya post utawakuta wanamimina Heineken mwanzo mwisho na muonekano wao unastaajabisha kidogo hata uvaaji nguo zao zinazonyesha mpaka dudu Kwa ndani linaning'inia na watoto wa kike wapo kifua wazi khabisa titi lote limepigwa tattoo za romance na mapini wametoboa kwenye pua, mdogo, ulimi, matiti, hata macho Yao nahisi Kuna kitu wanaweka maana muonekano wa macho Yao yanawaka kama paka gizani
Karibuni supu ya kongoro natoa hangover muda huu