Kuna watu utawaona night club ila mchana hawaonekani popote pale

[emoji23] haya bhana
 
Sidhani nahisi wanakwendaga na watu wao wamewekewa odder kabisa hawajiendei tu kama hii mikahaba yetu ya tandika. Wale hata uwe na pesa lakini wanaweza kukukataa vilevile maana huna mwonekano wa kutoka nao. Zile pisi sio za ahsee wanafyonza sana pesa
Kabisa... halafu ukiangalia wewe una ka laki 3 kako mfukoni ka mshahara wa mwalimu wa sekondari[emoji23][emoji23][emoji23] lazima ukimbie tu!
 
Na break it down,
Vijana wengi WA hovyo "Debauchers" especially hawa wanaojichora tattoos like kina lil Wayne e.t.c
Wengi mchana wanakua wamejificha nyuma keyboard tena wakiwa wajejifungia ndani, kuna Mambo mengi online ya kuongezea mifuko uzito,
But mostly time hawa wanakua wanajimwambafly kwenye madanguro ya online like onlyfans, stripcha.. , mastrubate, ve... na nyingine cjui blabla...
Tho Ya Moto zaidi recently ni "Bigo" Kwa uzoefu mdog nalioupata siku niliyo get in kusuuza Macho.

& huko wapo watu wanafunga zaid ya 20K per day just kushare video chat za mapilau .
Kwa ufupi Vijana wengi WA hovyo wameanza kupendelea mapilau ya live kuliko Yale ya VPN just in case .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…