sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mtu anakuwa serious sana mpaka unashangaa.
Vyuoni na shuleni enzi hizo unakutana na mtu yeye anachojua ni kusoma tu, Niliwahi kukaa chumba kimoja mwaka wa kwanza na mtu anabukua sio kitoto, yani ni yeye na chuo lakini nikawa nashangaa hata tukiongea ni mambo ya masomo tu, Nje ya kusoma ni kama hawanaga maisha mengine.
Makazini nako unakutana na mtu yupo serious na kazi tu, yani kazi tu, Mbaya zaidi huku makazini sio kazi kihivyo kama makampuni binafsi ama vibarua vya mtaani, kuna muda mwingi tu wa kutosha wa kuweza kufanya mambo mengine na watumishi wenzako, ila mtu unamkuta yeye anajua mambo ya kazi tu, yani nje ya hapo hata kuongea stori za kawaida unamuona ni kama hana maisha nje ya kazi.
Vyuoni na shuleni enzi hizo unakutana na mtu yeye anachojua ni kusoma tu, Niliwahi kukaa chumba kimoja mwaka wa kwanza na mtu anabukua sio kitoto, yani ni yeye na chuo lakini nikawa nashangaa hata tukiongea ni mambo ya masomo tu, Nje ya kusoma ni kama hawanaga maisha mengine.
Makazini nako unakutana na mtu yupo serious na kazi tu, yani kazi tu, Mbaya zaidi huku makazini sio kazi kihivyo kama makampuni binafsi ama vibarua vya mtaani, kuna muda mwingi tu wa kutosha wa kuweza kufanya mambo mengine na watumishi wenzako, ila mtu unamkuta yeye anajua mambo ya kazi tu, yani nje ya hapo hata kuongea stori za kawaida unamuona ni kama hana maisha nje ya kazi.